JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Viwanja vitakavyotumika Kombe la Dunia Hivi Hapa

Nchi 32 wanachama wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) zinatarajiwa kwenda nchini Urusi kushiriki michuano ya kombe la dunia, viwanja 11 vinavyotarajiwa kutumika nchini humo  ni vifuatavyo Luzhniki Stadium, Moscow Hiki ni kiwanja kikubwa kuliko vyote nchini humo na…

Wafungwa wanavyoteswa Shinyanga

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika magereza nchini vinaendelea licha ya Tanzania kuwa miongoni mwa mataifa mbalimbali duniani yaliyokubaliana kukomesha vitendo hivyo. Mbali na matamko ya kisera ambayo Tanzania imeridhia kwenye ngazi ya kikanda…

Nyerere: “Kama idadi ingekuwa ngamia, Afrika ingekuwa juu”

  Haya ni maneno aliyoyasema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika siku ya maadhimisho ya miaka 40 ya Uhuru Ghana, jijini Accra, mwaka 1997. Alizitaka nchi za Afrika kuungana kuwa na nguvu ya kiuchumi na sauti kubwa zaidi kwani pamoja na…

AJALI: WATU 3 WAMFARIKI NA WENGINE 5 WAMEJERUHIWA KWA AJALI YA GARI, BOKO, DAR

AJALI : Watu 3 wamefariki dunia na wengine 5 wamejeruhiwa katika ajali ambayo imetokea jioni hii eneo la Boko Magengeni Manispaa ya Kinondoni ajali hiyo imehusisha magari matatu ikiwemo gari la kubebea michanga na basi la wanafunzi Mkuu wa Trafiki…

JAJI MKUU AZINDUA MAFUNZO YA UONGOZI KWA MAJAJI

Jaji Mkuu, Prof Ibrahimu Juma, akizungumza jambo katika hafla hiyo. Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo. Prof Juma akizungumza na waandishi wa habari. …Akiwa na majaji katika picha ya pamoja. JAJI Mkuu  Prof Ibrahimu Juma amefungua mafunzo elekezi kwa…

Taarifa ya serikali kuhusu Uhaba wa bidhaa ya mafuta ya kula

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amelieleza Bunge kuwa, kuna hazina ya kutosha ya mafuta ghafi ya kula. Kwa mujibu wa Waziri Mwijage, kwenye hifadhi ya matenki ya mafuta ghafi ya kula jijini Dar es Salaam kuna mafuta…