JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simba Watinga Bungeni, Wabunge Wawashangilia

Timu ya Simba wametinga Bungeni jijini Dodoma leo baada ya kupata mwaliko wa Spika Job Ndugai. Mwenyekiti wa Bunge, aliyekuwa akiongoza kikao cha leo, Najma Giga, Naibu Waziri wa Tamisemi, Joseph Kakunda ndiye alianzisha shangwe za kuwapokea Simba bungeni kabla…

MTU NA MPENZI WAKE WANG’ATWA NA FISI KICHAKANI

Mtu na mpenzi wake , wakazi wa wilaya ya Igunga, Tabora wameng’atwa na fisi kichakani walipotaka kufanya Mapenzi. katika tukio hilo mwanamke Mwajuma Masanja (37) Mkazi wa kijiji cha Iduguta , alifariki baada ya kushambuliwa viabaya na fisiw huyo huku…

Lulu Abadilishiwa Adhabu, Sasa Atatumikia kifungo cha Nje

Hivi Punde: Muigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebadilishiwa adhabu kwa amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania. Magereza yaeleza kuwa, Lulu atatumikia kifungo cha nje kuanzia sasa

Marekani Kufungua Ubalozi Mpya leo Mjini Jerusalem

Marekani itafunguq ubalozi wake mpya mjini Jerusalem hatua ambayo imesifiwa na Israel na kulaaniwa na Wapalestina ambao wanakusanyika kwa maandamano makubwa. Maafisa wa vyeo vya juu kutoka Marekani watahudhuria sherehe hiyo leo akiwemo binti ya Rais wa Marekani Donald Trump…

TUNAWATAKIA SIKU YAFURAHA AKINA MAMA WOTE DUNIANI

Leo ni siku ya Mama duniani hivyo Kampuni ya Jamhuri Media inatambua mchango mkubwa uliotokana/ unatokona na Mama hivyo tunaungana na kina mama wote kuwatakia siku yao #Hakuna kama Mama