JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jafo: Maonesho ya Tano ya Viwanda kufanyika kitaifa 2025 Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Seleman Jafo, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah, kuhakikisha kuwa maonyesho ya tano ya viwanda mkoani Pwani yanakuwa ya kitaifa ifikapo mwaka 2025….

Wataalam wa ununuzi na ugavi chukieni rushwa, fanyeni kazi kwa uwazi – Dk Biteko

📌 Atahadharisha vitendo vya rushwa kwenye Manunuzi 📌 Dkt. Biteko afungua Kongamano la 15 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi 📌 Ataka wasikilize sauti za watu, kutathimini utendaji kitaaluma Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu…

Baba harusi Vicent Massawe akutwa kwa mganga wa kienyeji baada ya kuuza gari alilokodi

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Vicent Peter Masawe a.k.a baba harusi mkazi wa Kigamboni Dar es Salaam anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za wizi wa gari aliloazimwa wakati wa harusi yake huku akijipatia fedha kwa njia ya…

Rais Mstaafu Dk Kikwete ahudhuria mkutano wa Taasisi ya ubia wa wadau wa maji Kusini mwa Afrika

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Ubia wa Wadau wa Maji Kusini mwa Afrika (Global Water Partnership (Southern Africa & GWP Africa Coordination Unit), alishiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi…

Jaji akataa hoja ya Trump ya kutaka atupilie mbali kesi aliyopatikana na hatia

Jaji wa mahakama ya New York ameamua kuwa hatia aliyopatikana nayo Donald Trump katika kesi ya kutoa pesa za kutunza siri ni halali, amekataa hoja ya rais mteule kwamba hatia hiyo inapaswa kutupiliwa mbali kutokana na uamuzi wa Mahakama ya…

Ukraine yakiri kumuua Jenerali wa kikosi cha nyuklia wa Urusi

Vyanzo vya BBC katika Idara za Usalama za Ukraine vinadai kuwa Ukraine ndio imehusika na operesheni ya kumuua Igor Kirillov mjini Moscow. Kulingana na chanzo hicho, pikipiki iliyokuwa na vilipuzi ililipuliwa wakati Kirillov na msaidizi wake wakikaribia jengo moja huko…