JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ukraine yakiri kumuua Jenerali wa kikosi cha nyuklia wa Urusi

Vyanzo vya BBC katika Idara za Usalama za Ukraine vinadai kuwa Ukraine ndio imehusika na operesheni ya kumuua Igor Kirillov mjini Moscow. Kulingana na chanzo hicho, pikipiki iliyokuwa na vilipuzi ililipuliwa wakati Kirillov na msaidizi wake wakikaribia jengo moja huko…

RITA yamaliza mgogoro wa msikiti wa Ijumaa Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhani nchini (RITA), umeitaka Bodi mpya ya Wadhamini wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza, kujiepusha na ubadhirifu wa mali za msikiti sambamba na kuimarisha mshikamano wa waumini, pamoja na kutolipiza…

Rais Samia tusaidie kukataa dizeli SGR, hongera Dk. Biteko TANESCO

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo katika makala hii, naomba, narudia, naomba sana niandike juu ya mambo mawili. Mambo haya ni treni yetu ya mwendokasi (SGR) na uzinduzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa KV400 kutoka…

Lissu achukua fomu kugombea uenyekiti CHADEMA

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo Desemba 17, 2024 amechukua fomu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho, katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. Baada…

Watuhumiwa 126 wa ukabakaji, ulawiti na usafirishaji dawa ya kulevya wakamatwa

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema hali ya Ulinzi na usalama kwa kipindi cha kuanzia mwezi Octoba, 2024 hadi sasa ni shwari huku likibaiinisha kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wa ubakaji na usafirishaji…

Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa John Tendwa afariki Dunia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyewahhi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Bill Tendwa amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesema marehemu Tendwa amefariki leo Desemba 17,…