JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bandari ya Mwanza kiunganishi Maziwa Makuu

Na Mwandishi Maalum   Baada ya kuona jinsi Bandari ya Kyela inavyoing’arisha kiuchumi na kijamii Kanda ya Juu Kusini na nchi jirani za Malawi, Msumbiji na Zambia wiki iliyopita, katika makala haya tutaona jinsi Bandari ya Mwanza ilivyo kiungo muhimu…

Jaji Warioba matatani

*Mtendaji TBA aagiza afukuzwe alikopanga *Yono wakabidhiwa kazi ya kumwondoa *Amri ya Mahakama inayomlinda yapuuzwa *Yeye asema hadaiwi, polisi wasita kumwondoa       NA MANYERERE JACKTON   Waziri Mkuu na Makamu wa Rais (mstaafu), Jaji Joseph Warioba, anafukuzwa kwenye…

Chini ya Kapeti, Meneja wa Chelsea Antonio Conte Kuondoka Chelsea

Meneja wa Chelsea Antonio Conte anatarajiwa kuondoka Chelsea kwa saa 48 zijazo na nafasi yake huwenda ikachukuliwa na  Meneja wa zamani wa Barcelona Luis Enrique.

Nicolas Maduro Ashinda Tena Uchaguzi Nchini Venuzuela

Rais wa Venezuela Nicolás Maduro, ameshinda uchanguzi kwa awamu ya sita kwenye uchaguzi uliokubwa na ususiaji kutoka chama kikuu cha upizani kwa madai ya udanganyifu wa kura. Kutokana na upungufu wa chakula unaosababishwa na changamoto za kiuchumi , asilimia 46,…

Andres Iniesta Atandika Daluga Barcelona

Andres Iniesta amekamilisha huduma yake ya kuichezea Barcelona katika mechi ambayo Barcelona imewaadhibu Real Sociedad wakati wa mechi za mwisho za La Liga. Iniesta ameagwa kishujaa kwani mashabiki waliunda maandishi ya kumuaga, uwanja ukawashwa taa maalumu kwa ajili yake na…