JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kurejea kwa Toto Afya Kadi mwanga mpya bima ya afya

Na WAF, Dodoma Waziri wa Afya Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya hususan kwa kundi la watoto ambalo linahitaji uangalizi wa pekee. Mhagama aliyasema hayo juzi Jijini Dodoma,…

13 mbaroni tuhuma za miundombinu ya TANESCO na SGR, wamo raia wa Kenya na China

Na Magrethy Katengu, JamhuriMediaDar es Salaam JESHI la Polisi Kikosi Cha Reli kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama wamefanikiwa kuwakamata raia wa Tanzania , (Kenya /China) 13,kwa kosa la tuhuma za kuiba miundombinu ya reli ya SGR,…

Watano wapandishwa kizimbani wakiwemo Wachina kwa tuhuma kuhujumu miundombinu ya reli SGR

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani Watuhumiwa watano, wakiwemo raia wawili wa China, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha na kusomewa mashtaka matano ya uhujumu mali za Shirika la Reli Tanzania (TRC), na kusababisha Serikali hasara ya zaidi ya…

Serikali yaipa kongole kampuni ya CRJE ikiahidi kuendelea kudumisha mahusiano mema na China

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeipongeza Kampuni ya ukandarasi kutoka nchini China ya CRJE (East Africa) Ltd kwa ufanyaji kazi uliotukuka huku ikiahidi kuendelea kukuza mahusiano yaliyodumu kwa muda mrefu kati ya Tanzania na Chin. Hayo yalisemwa…

Kinglion kuzalisha tani 35,000 za malighafi za kutengeneza mabati kwa mwaka

Na Mwamvua Mwinyi, JamahuriMedia, Pwani Kiwanda kipya cha kuzalisha malighafi za kutengeneza mabati (coils )Kinglion kilichojengwa katika eneo la viwanda Zegereni kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani 35,000. Meneja wa Kampuni ya Kinglion, Arnold Lyimo, amesema alieleza kuwa kiwanda hicho…