JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tutaendelea kutengeneza sera rafiki kuvutia uwekezaji sekta ya mafuta na gesi asilia – Kamishna Shirima

📌 Asema Sekta ya Mafuta nchini imeimarika 📌 Ataja miradi ya kimkakati ujenzi wa mabomba ya gesi na mafuta Kamishna wa Petroli, Goodluck Shirima amesema kuwa, Tanzania imejipanga vyema kutengeneza sera rafiki zitakazozidi kuvutia uwekezaji kwenye sekta ya Mafuta na…

‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda

Kufuatia kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa Watuhumiwa wawili wanaodaiwa kufanya udanganyifu kuwa wao ni maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwa wanao uwezo wa kusamehe Madeni ya Kodi, Kamishna Mkuu wa TRA Bw.Yusuph Juma Mwenda amesema hakuna…

Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi – Dk Biteko

📌 Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi 📌 Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala 📌 Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya China kushiriki Duru a Tano Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia Naibu Waziri Mkuu…

PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inatarajia kunadi vitalu 26 vya gesi asilia na mafuta kwa lengo la kuvutia wawekezaji ili kuchangia maendeleo na kukuza uchumi wa nchi kwa…

Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii zimekubaliana kushirikiana na Serikali ya Oman katika sekta ya maliasili na Utalii kwa lengo la kuboresha sekta hiyo. Hayo yamejiri…