JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mhamiaji wa Mali Apongezwa kumuokoa Mtoto Ghorofani

Mhamiaji wa Mali amepongezwa kama shujaa baada ya kukwea sehemu ya mbele ya jengo la ghorofa mjini Paris kumuokoa mtoto aliekuwa kwenye uzio wa ubaraza wa ghorofa ya nne kwenye jengo refu. Video ya Mamoudou Gassam akimuokoa mtoto ilisambaa sana…

Naibu Waziri wa Afya Dk. Ndugulile mgeni rasmi Siku ya Hedhi Duniani Leo

Siku ya Hedhi Duniani kuazimishwa le tarehe 28/Mei/2018, huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile. Tukio hilo linatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Bwalo la Maafisa wa Jeshi la…

Mohamed Salah: Nina ‘matumaini makubwa’ ya kucheza Kombe la Dunia Urusi 2018

Mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah amesema ana uhakika wa kuwepo kwenye michuano ya kombe la dunia baada ya kupata majeraha ya bega kwenye mchezo wa fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid. Salah, 25, aliondoka…

MASHEIKH 11 WA SHIA ITHNA SHERIA WA KANDA YA ZIWA WASAIDIWA VYOMBO VYA USAFIRI

Masheikh 11 wa madhahebu ya Shia Ithna Sheria katika mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera,Tabora, Kigoma, Dodoma na Katavi wamepewa vitendea kazi vyenye thamani ya shilingi milioni 80.    Vitendea kazi hivyo pikipiki aina ya Freedom vilikabidhiwa jana kwa mashaeikh hao…

KAMPUNI YA QNET YATOA MSAADA WA VYAKULA KITUO CHA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU CHA NEW LIFE ORPHANS.

 Meneja wa QNET, Muqtadir Suwani akizungumza na waandishi wa habari   Meneja wa QNET, Muqtadir Suwani(kulia) akipeana mkono na Katibu wa  kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu cha New Life Orphans Home, Hamadi Kondo mara baada ya kutoa msaada wenye…

VIJANA WASHAURIWA KUWA WASHIRIKI WA MAENDELEO NA SIO WANAOYASUBIRI

MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Alvaro Rodriguez amewataka vijana wa Tanzania kuwa washiriki katika mipango ya maendeleo na sio kusubiri kufanyiwa.   Aidha ameshauri vijana kuacha kuilalamikia serikali na jumuiya ya kimataifa kuhusu ajira na badala…