JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

UFARANSA YAANZA VIZURI KOMBE LA DUNIA DHIDI YA AUSTRALIA

Ufaransa imefanikiwa kuibuka na ushindi wake wa kwanza katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu nchini Russia wa mabao 2-1 dhidi ya Australia. Mabao ya mchezo huo yametiwa kimiani na Antoine Griezmann katika dakika ya 58 kwa njia ya…

Huyu ndio Ronaldo Bana Apiga Hat Trick

Mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu Afrika na pande zingine duniani baina ya Spain na Ureno umemalizika kwa timu zote kuambulia alama moja baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya 3-3. Mechi hiyo imepigwa kwenye Uwanja wa Fisht uliopo Sochi…

Yanga Yakubaliwa Kujiondoa Kagame Cup

Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekubali maombi ya Yanga kujiondoa katika mashindano ya KAGAME baada ya kutuma barua iliyoeleza kuomba kujitoa Yanga ilituma barua kupitia TFF ikiomba kujiondoa ili kuwapa nafasi wachezaji wake mapumziko kwa ajili ya…

Urusi yaanza Vema Mashindano ya Kombe la Dunia baada ya Kuibebesha Zigo la Mabao Saudi Arabia

Dakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Saudi Arabia katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia. Mechi hiyo ya aina yake imeshuhudiwa bao la…