JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sekta binafsi isionekane kuwa ni maadui wa taifa

Wadau wameisikia bajeti kuu ya Serikali. Imepokewa kwa mitazamo tofauti. Wapo waliopongeza, na wapo waliokosoa. Huo ni utaratibu wa kawaida kwani hakuna jambo linaloweza kupendwa au kuchukiwa na wote. Pamoja na kutoa unafuu kwa maeneo mbalimbali, bado tunaamini Serikali inapaswa…

Polisi futeni aibu hii

Na Alex Kazenga   Kwa kipindi kirefu yamekuwepo malalamiko kutoka sehemu mbali mbali nchini watu wakilituhumu Jeshi la Polisi kutumia nguvu zilizopitiliza kwa raia wanapotuhumiwa kuwa na makosa. Hali hiyo kwa mara nyingi imeacha taharuki kwenye jamii huku baadhi ya…

Serikali yabisha hodi Epanko

Serikali yabisha hodi Epanko *Wachimbaji wa sasa, wa zamani kikaangoni *Tume yapelekwa kuchunguza ukwepaji kodi *Mwekezaji avuna, wananchi waambulia soksi   MAHENGE NA ANGELA KIWIA Serikali inakusudia kuunda tume ya uchunguzi baada ya kuwapo taarifa za utoroshwaji madini ya spino…

Timu za Afrika sikio la kufa

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM   Wakati michezo kadhaa ya Kombe la Dunia ikiwa imepigwa katika viwanja mbalimbali nchini Urusi, timu kutoka barani Afrika hazioneshi kulitetea vema bara hili kama baadhi yake zilivyotamba wakati zikielekea Urusi.   Hadi Jumapili…

Maji yaunganisha Serikali, upinzani

*Serikali yafungua mlango uwekezaji  katika viwanda *Mbowe ataka elimu, gesi itumike kuzalisha umeme *Zitto apendekeza kodi ya maji Sh 160 kama umeme REA *Wabunge wapendekeza tozo ya maji miamala ya simu Na Waadishi Wetu, Dodoma   Kwa mara ya kwanza katika…