JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais wananchi wanataka maziwa na asali

Ndugu Rais hii ni sauti ya mtu aliaye jangwani. Wahurumieni masikini na wanyonge wa nchi hii. Wahurumieni watu wa Mungu hawa. Baba, Watanzania wameteseka vya kutosha. Kwanini masikini wateseke katika nchi yao ambayo Mwenyezi Mungu aliipendelea kwa kuikirimu kila aina…

Waitara ameumiza watoto 30,000

Mara mbili, katika matoleo Na. 313 na Na. 331, nimeandika makala yenye maudhui ya aina hii ninayoandika leo. Makala ya kwanza niliandika: “Tusiendekeze usaliti huu”; na kwenye makala ya pili nilihoji: “Nani ana hakika Mtulia atatulia, hatahama tena?” Nikasema yamekuwapo…

Tufute mfumo wa vyama vingi

Na Deodatus Balile Ni wiki mbili sasa sijawa katika safu hii kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu. Naomba uniwie radhi msomaji. Katika ‘Sitanii’ mbili zilizotangulia, niliahidi kuzungumzia mbinu bora za kufanya biashara na nikagusia wenzetu wa Morocco walivyogeuza…

JPM ainoa safu yake

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI MAALUMU   Julai 28, mwaka huu, Rais John Magufuli, alifanya uteuzi na uhamisho wa viongozi wa mikoa, wizara na wilaya. Amefanya mabadiliko hayo baada ya baadhi ya viongozi kustaafu, kuteuliwa kushika nafasi nyingine na wengine…

Iran kumchapa Trump

*Rais, majenerali wawili, Ayatollah wampa onyo kali *Wajipanga kwa vita kuiteketeza Marekani kila kona *Maninja waanza mazoezi jangwani, wadai wao si Korea *Uingereza, Ufaransa, China, Urusi, Ujerumani wamgomea TEHERAN, IRAN Wasiwasi umetanda duniani baada ya Jeshi la Iran kumpa onyo…

JWTZ watanda Mirerani

*Sasa hakuna kutorosha jiwe nje ya uzio *Wazalendo furaha, wakwepa kodi kilio SIMANJIRO NA MWANDISHI WETU Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokewa kwa shangwe kwenye dhima yake mpya ya kulinda migodi ya tanzanite, Mirerani mkoani Manyara. Uwepo…