JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JASINTA MBONEKO ALA KIAPO CHA UKUU WA WILAYA YA SHINYANGA

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Zainab Telack amemuapisha Jasinta Venant Mboneko kuwa mkuu wa wilaya ya Shinyanga leo Jumatatu Agosti 6,2018. Hafla fupi ya kuapishwa kwa mkuu huyo mpya wa wilaya ya Shinyanga imefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa…

Kangi Lugola Atoa Onyo Makampuni ya Ulinzi Yanayoajiri Vikongwe

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Alphaxard Lugola, ametoa mwezi mmoja kwa makapuni binafsi ya ulinzi nchini kuhakikisha yanarekebisha mfumo wao wa kuajiri pamoja na utoaji wa mishahara kabla ya Wizara yake haijaanza kuyahakiki makampuni hayo. Lugola amesema…

Plans In Russ brides Uncovered

In similar instances, the bride has more than you car. Check what type of alternatives (1, two, 6, 12 months) the web site extends to both you and attempt to calculate the length of time you happen to be prepared…

Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama

Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama, huko Honolulu, Hawaii, Marekani. Obama alikuwa Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika nafasi hiyo ya urais…

BAD NEWS: Gari la Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla limepata ajali

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla amepata ajali katika eneo la Magugu mkoani Manyara. Waziri Kigwangalla amejeruhiwa maeneo mbalimbali ya mwili wake, huku mwanahabari Hamza Temba akifariki dunia. Waziri Kigwangalla alikuwa katika ziara ya kikazi ambapo alikuwa akikagua…