JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Hamisi Kigwangalla Awashukuru Watanzania kwa Maombi yao, Afya Yake Inazidi Kuimarika

Jana ilikuwa siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwagalla, lakini kiongozi huyo aliisherehekea akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akipatiwa matibabu. Dk Kigwangalla alisherehekea siku yake akitibiwa baada ya kupata ajali mwishoni mwa…

RAIS WA JAMHURI YA UGANDA, YOWERI MSEVENI KUFANYA ZIARA NCHINI TANZANIA 9 AGOSTI 2018

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni atafanya ziara ya kikazi ya siku moja hapa nchini tarehe 09 Agosti 2018. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha ushirikiano na ujirani mwema uliopo kati ya Tanzania na Uganda. Mara baada…

RAIS MSTAAFU MKAPA MGENI RASMI KILELE CHA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE 2018 SIMIYU

RAIS mstaafu Mhe. Benjamini Mkapa leo Agosti 08, atakuwa Mgen Rasmi katika Kilele cha  Maonesho ya Sherehe ya wakulima Nanenane Kitaifa mwaka 2018, ambayo yanafanyika katika Uwanja wa Nyakabindi Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu. Akizungumza na vyombo vya…

TUNDU LISSU ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALINI

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka hospitalini alipolazwa kuanzia leo ataishi nyumbani. Tangu Septemba 7 mwaka jana aliposhambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 jijini Dodoma, Lissu amekuwa akiishi hospitalini kwa matibabu zaidi. Ujumbe wa Lissu alioutoa leo…

Ethiopia yatia saini mkataba wa kumaliza uhasama na waasi wa Oromo Liberation Front – OLF

Serikali ya Ethiopia imetia saini muafaka wa amani na kundi moja kuu la waasi nchini humo Oromo Liberation Front- OLF, ili kukomesha uhasama nchini humo. Awali utawala huko Addis Ababa ulitangaza kuwa sasa kundi hilo halitaitwa la kigaidi kama ilivyokuwa…

CCM wachukua fomu kumrithi Majimarefu Korogwe Vijijini

Wanachama  44 wa CCM wamejitokeza kuwania ubunge jimbo la Korogwe Vijijini. Wanacham 47 walichukua fomu hizo na 44 kati yao akiwamo mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Thomas Ngonyani wamerudisha fomu hzo. Jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na Stephen Ngonyani…