JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kalanga amalizana na CCM, aisubiri Chadema

Hatimaye maandamano ya wana-CCM wilayani Monduli kupinga Julius Kalanga kuwa mgombea pekee wa ubunge kupitia chama hicho yamegonga mwamba baada ya kada huyo kujitokeza peke yake kuchukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. Kalanga aliyekuwa mbunge wa…

Tangazo la NEC lahitimisha udiwani wa Manji

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa udiwani wa kata 21 ikiwamo ya Mbagala Kuu katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam, jambo linalohitimisha udiwani wa mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuf Manji. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Athuman…

NEC yazipangua hoja za Chadema Buyungu

Mkurugenzi wa uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) Dk Athumani Kihamia amesema msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma ataendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuwa malalamiko yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kumkataa hayakufuata…

Emmanuel Ramazani Shadari ndiye atakayemrithi rais Joseph Kabila DR Congo

Marekani imepanga kuweka vikwazo vipya kwa Urusi ikiwa ni kujibu kitendo cha shambulizi la sumu la afisa wa zamani wa usalama wa Urusi Sergei Skripal na mtoto wake wa kike nchini Uingereza. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa…