JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Magazetini Leo, Tarehe 20, 08,2018

Good Morning Mtu wangu wa nguvu !! kutoka DSM Tanzania leo August 20, 2018 nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.

SIMBA YABEBA NGAO YA HISANI MWANZA DHIDI YA MTIBWA

Klabu ya Simba imefanikiwa kutwaa Ngao ya Hisani kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana. Simba imeibuka na ushindi huo kupitia mabao ya Meddie Kagere aliyefunga…

Tutaendelea Kumkumbuka Kofia Annan

Jana August 18, 2018 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amefariki jana Agosti 18 nchini Uswisi akiwa na umri wa mika 80 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Inaelezwa kuwa Annan ambae alikuwa ni Raia wa Ghana…

Mtatiro amewahi kuisema hivi CCM

Maneno haya yaliandikwa Desemba, 2017 na Naibu Katibu Mkuu wa CUF (Bara), Julius Mtatiro ambaye wiki iliyopita ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga CCM. Chini ya kichwa cha habari “Comrade Samson Mwigamba amenigutusha kitandani, Mtatiro alilaani uamuzi wa aliyekuwa Katibu…