JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

IGP anzisha kampeni ajali za barabarani

Mhariri salamu, Nimeamua kuandika barua hii kwako Inspekta Jenerali wa Polisi wa Tanzania (IGP) ikufikie kupitia Gazeti la JAMHURI, nikiwa raia wa Tanzania na mdau wa usalama barabarani, nimeona nitoe mchango wangu wa mawazo katika kupambana na ajali za barabarani….

Kocha Taifa Stars apewe muda

NA MICHAEL SARUNGI Kutopitia mafunzo ya soka kutoka vyuo vya kufundishia soka na Watanzania kukosa uvumilivu kunaweza kuwa sababu ya kumkwamisha Kocha wa sasa wa Taifa Stars, Mnigeria Emmanuel Amunike. Wakizungumza na Gazeti la JAMHURI kwa nyakati tofauti baada ya…

Utaratibu mpya wa kusajili kampuni

Na Bashir Yakub Tangu Aprili mwaka huu 2018, utaratibu wa kusajili kampuni umebadilika. Ni tofauti kabisa na ambavyo tulizoea. Hata hivyo, yapo mambo ambayo yamebaki vilevile kama awali, kadhalika yapo mengi pia yaliyobadilika. Tutapitia utaratibu wa awali kidogo na huu…

Yah: Nadhani tumezidi unafiki

Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia sifa nyingi sana za mtu pale ambapo ndiyo kwanza tumemaliza kutupia chepe la mwisho la mchanga katika kaburi lake. Huwa inakuwa hotuba nzuri ya kutia simanzi juu ya uwepo wake alipokuwa hai na jinsi ambavyo nafasi…

Kiswahili ni lugha yetu, vipi tunakibananga? (2)

Hakika Kiswahili kilipata heshima, upendo na hifadhi kubwa kutoka wenyewe na wageni kutoka nchi za nje. Wageni hawa waliamua ku katika maandishi. Yaani vitabu viliandikwa na kuchapishwa, watu w kuvitunza. Vitabu vya mwanzoni viliandikwa kwa hati za Kirumi. Wamisionari w…

Ndugu Rais shangazi kutangulia sikupi pole

Sehemu ya kwanza, nilieleza kuwa wanahistoria wanasema hadi karne ya 17 (miaka ya 1600 AD), duniani hapakuwapo kitu kinachoitwa au kinachojulikana kama CHAMA CHA SIASA tangu enzi za Wagiriki. Endelea….   Enzi za utawala wa Warumi (The Roman Empire) kulikuwa…