JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CHAKUA walilia ruzuku, kuwapigania abiria

NA AGUSTINO CLEMENT, TUDARCO DAR ES SALAAM Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua) kimesema kimekuwa na wakati mgumu wa kutimiza majukumu yake ya kutetea haki za abiria kutokana na kukosa ruzuku kutoka serikalini. Chakua imekuwa ikiahidiwa na serikali kupata ruzuku…

Sheria mpya ya kulinda barabara kuanza Januari

NA MICHAEL SARUNGI, DAR ES SALAAM Serikali imetangaza kuanza kutumika kwa sheria mpya ya udhibiti wa uzito wa magari ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Vehicle Load Control Act, 2016) kuanzia Januari mwakani ili kukabiliana na uharibifu wa barabara…

Zimamoto na Uokoaji wasaidiwe kukabili changamoto

Na Zulfa Mfinanga, Dodoma Licha ya kuwepo kwa Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchin haina mfumo wa dharura wa uokoaji katika ajali za barabarani. Sheria ya Zimamoto na Uokoaji Cap 427 ya mwaka 2008, Kifungu c cha (1)…

MAFANIKIO YOYOTE YANA SABABU (37)

Na Padri Dk. Faustine Kamugisha Moyo ni sababu ya mafanikio. Unapoweka moyo wako wote katika lile unalolifanya utafanikiwa. “Fanya kazi kwa moyo wako wote, na utafanikiwa – kuna ushindani mdogo, ” alisema Elbert Hubbard. Kuna methali ya Tanzania isemayo: “Moyo…

Bandari: Hatua za kuagiza mzigo nje ni hizi

Na Mwandishi Maalumu Kutokana na maombi ya wasomaji wa makala za Bandari ku JAMHURI, ambao wameomba turudie kuchapisha baadhi ya kuwathamini wasomaji na wadau wetu tumekubali kurudia makala h Moja ya makala ambazo wasomaji wetu waliomba turudie ni ya ambazo…

Ni neema ya Mungu, nilikiona kifo – Kigwangalla

*Asimulia tukio zima la ajali waliyoipata, aelezea afya yake *Awashukuru wananchi kwa kumwombea *Alitangaza wosia, watu anaowadai na wanaomdai Nianze kwa msemo maarufu wa lugha ya Kiswahili usemao: “Kama haujui kufa, tazama kaburi.” Anayeweza kuthibitisha maneno haya ni yule aliyenusurika…