JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais, wewe si mwanasiasa mzuri

Ndugu Rais, hakuna siku uliuchoma moyo wangu kama siku ile uliyo wazi, tena kwa umakini mkubwa huku ukionyesha waziwazi kuwa makali ya hisia katika kifua chako. Ukafika mahali ukashindwa kujizuia Naona uchungu ulikuzidi. Ilipokuja afueni, ukatulia kidogo. Na kama lilikujia,…

Parking Airport ni hatari

Mpita Njia (MN) amepata fursa ya kwenda Uwanja wa Ndege wa zamani wa Dar es Salaam (Terminal I). Akiwa hapo uwanja wa ndege langoni alikuta teknolojia ya kisasa kabisa, ambapo gari kuingia unabonyeza mashine, bonyeee, inatema kadi ya kulipia gharama…

Wingu jeusi’ linamnyemelea Koffi Olomide (2)

  …Kutokana na tukio hilo Serikali ya Kenya ilimuamuru mwanamuziki huyo mwenye sauti nzito kuondoka mara moja nchini humo kutokana na kutokubaliana na vitendo vya udhalilishaji kwa wanawake. Onyesho lililokuwa limepangwa kufanyika lilifutwa, wapenzi na mashabiki wake wakibaki wakisubiri kwa…

Maana ya hisa na aina zake kisheria

NA BASHIR YAKUB 1. Nini maana ya hisa? Hisa ni masilahi ya kila mwanachama aliyonayo katika kampuni fulani. Yaani wewe kama ni mwanahisa katika kampuni fulani, basi yale masilahi yako au kiwango chako cha uwekezaji ulichowekeza katika ile kampuni ndizo…

Ukombozi wa fikra kwa Watanzania (3)

Na William Bhoke Kwa uhalisia wake, bado Watanzania hatujajitambua, Watanzania tumekuwa kama mbuzi wa kiangazi. Mbuzi wa kiangazi wanazunguka kutwa nzima pasipo kuelewa wanaelekea wapi. Imepita takriban miaka 54 tangu taifa hili kupata uhuru, lakini cha ajabu ni kwamba bado…

LINI WATATHAMINIKA?

LINI WATATHAMINIKA 1: Japo wao ndo walezi, thamani yao ni ndogo, Hufanyishwa ngumu kazi, kuzidi punda mdogo, Wengi hutokwa machozi, ya kulemewa mizigo, Mama zetu vijijini, lini watathaminika? 2: Masaa kumi na mbili, mama anachapa kazi, Lile jua lote kali,…