JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SIMBA YAWEKA REKODI NYINGINE

Klabu ya Simba imeendelea kuweka rekodi kwa msimu wa pili mfululizo kuwa ni timu ya kwanza kwa kutoa mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu Bara. Msimu huu mshambuliaji Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda Meddie Kagere ndiye alikuwa mchezaji bora…

Miili 44 ya waliofariki katika Kivuko inavyotolewa majini

Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama limesitishwa kutokana na giza na litaendelea leo alfajiri ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliyookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha…

Mjue Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka

  DAR E SALAAM NA MWANDISHI WETU, Akiwa ziarani katika Mkoa wa Simiyu, Rais John Magufuli, alimsifu Mkuu wa Mkoa huo, Anthony Mtaka, na kumtaja kama kiongozi mahiri aliyefanya mambo mengi, mazuri kwa muda mfupi. Akasema awali alipopendekeza jina la…