JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simba Yapitisha Majina ya Wagombea Uongozi

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Boniface Lyamwike, imeweka wazi majina ya waliopita kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ambapo wagombea wawili wameondolewa kati ya 21 waliochukua fomu. Taarifa ya kamati hiyo imewataja waliopitishwa…

LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWAPicha

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI    LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWA *Asema ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, kisukari na moyo  *Asisiza wananchi kuzingatia ulaji unafaa na kubadili mitindo ya maisha  …

WAZIRI MKUU AKATISHA ZIARA DODOMA, AENDA UKEREWE

WAZIR MKUU Kassim Majaliwa amekatisha ziara ya mkoa wa Dodoma na kuelekea Ukerewe Mwanza kuwafariji wananchi waliopatwa na maafa kutokana na ajali ya kivuko cha MV Nyerere. Waziri Mkuu ambaye alikuwa na ziara ya kikazi ya siku saba katika mkoa…

Yanga Yaendele kujiweka Fiti kwa Ajili Yeyote atakeyekuja Mbele

Na George Mganga Klabu ya Yanga imeendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida United utakaopigwa Uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki hii. Yanga imezidi kujifua chini ya Kocha wake Mkuu, Mkongomani Mwinyi Zahera…

Haji Manara Waangukia Mashabiki wa Simba

Baada ya kuambulia kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa CCM Kirumba, jijini Mwanza, uongozi wa klabu ya Simba umewaomba radhi mashabiki wake. Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, ameibuka na kuomba…

Updete Ajali ya Mv Nyerere Mwanza

RC wa Mwanza, John Mongela amesema idadi ya watu waliofariki kwa ajli ya #MvNyerere kuzama Ziwa Victoria imeongezeka na kufikia 94 leo asubuhi. DC Ukerewe amesema Kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 100 na tani 25 za mizigo, lakini…