JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbilia Bel astaafu muziki

NA MOSHY KIYUNGI Tabora Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Kilingala na Kifaransa, Mbilia Bel, amestaafu rasmi muziki Januari mwaka jana. Mwana mama huyo mapema Januari 2017, alitangaza kustaafu kwake wakati akisherehekea miaka 40 kwenye muziki, pia siku yake ya kuzaliwa…

Idadi ya wazee kuongezeka

ARUSHA NA MWANDISHI WETU Idadi ya wazee nchini Tanzania inakadiriwa kuwa asilimia 11 ya watu wote ifikapo mwaka 2050. Hali hiyo inasababishwa na ongezeko la idadi ya watu na kuboreshwa kwa huduma za afya nchini. Mratibu wa Huduma za Afya…

Mfugale Flyover ni ukombozi

Na Deodatus Balile Kwa muda mrefu ninapokuwa safarini huangalia jambo la kurejea nalo nyumbani. Nimesafiri nchi kadhaa duniani, hivyo nashukuru Mungu kuwa kusafiri huko kumeniongezea uelewa. Katika nchi nyingi, iwe zilizoendelea au zinazoendelea, zimeweka mtazamo na msisitizo mpya katika miundombinu….

Hujuma zatawala UDART, wakamatana

Na Mwandishi Wetu Polisi wanawashikilia wafanyakazi 22 wa Kampuni ya UDA Rapid T inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Simon Group, Simon Kisena, JAMH Wafanyakazi hao wakiwamo wasaidizi wa karibu wa Kisena wanata mbadala wa kuuza tiketi za mabasi ya mwendokasi unaoipotezea…

Wizi wa kutisha

>>Bima feki za magari zatamalaki kila kona Dar >>Mtandao wajipenyeza Bandari, TRA, SUMATRA >>Yanayopata ajali, kuua wananchi yatelekezwa >>Kamanda wa Polisi aeleza mchongo wote ulivyo   DAR ES SALAAM NA MANYERERE JACKTON Mtandao wa utapeli unaowahusisha wafanyabiashara na watendaji wakuu…

MWANZA NA MWANDISHI WETU   Wanafunzi 12 wa Sekondari ya Igokelo, Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, wamegundulika kuwa na ujauzito mwaka huu, hivyo kulazimika kuwa kando na masomo yao. Mimba hizo zimewalenga zaidi wanaosoma kidato cha kwanza, cha pili, tatu…