JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Korosho bado ni ‘umiza kichwa’! (4)

Sehemu iliyopita, nilianza kuandika rejea ya makala niliyoiandika miaka 17 iliyopita. Nilisema kule India nako lile shirika la “Cashew Corporation of India” lililonunua korosho zetu zote lilishavunjwa. Hivyo wanunuzi binafsi walikuwa wanajinunulia korosho kiholela kwa viwanda vyao vya kubangulia korosho….

Dk. Bashiru utachukiwa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, ametoa kauli ya kijasiri kuhusu ushindi wa chama hicho, akitoa mfano wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 ambao ni asilimia 42 pekee ya waliojiandikisha kupiga kura ndio waliojitokeza. Nampongeza kwa…

Tutetea urithi wa lugha zetu

Miezi kadhaa iliyopita nilimsikia jirani yangu Mkurya akitoa somo la nyota kwa wageni Wafaransa. Alitaja tafsiri, kwa Kikurya, ya nyota, mwezi, jua, na hata ya sayari Zuhura. Lugha mama yangu ni Kiswahili, siyo Kizanaki, kwa hiyo hufurahia sana kusikia Mtanzania,…

Naomba Mhandisi Mjungi akumbukwe

Na Angalieni Mpendu Rais Dk. John Pombe Magufuli nimekusikiliza kwa utulivu, nimekusoma kwa umakini na nimekuelewa kwa undani katika hotuba yako ya uzinduzi wa Daraja la Mfugale (Mfugale Flyover), eneo la TAZARA, katika makutano ya Barabara ya Mandela na Barabara…

Yah: Mheshimiwa Charles Tizeba umetusahau wakulima wako

Ninajua kuwa hautanielewa nikisema umenisahau kwa sababu haujapata nafasi ya kuja kunitembelea hapa kwangu na kuona jinsi ambavyo fuko la alizeti lilivyogeuka kuwa mto wa kulazia kichwa changu huku nikiwaza rundo la mahindi nitaliuza wapi, najiuliza, mihogo niliyonayo niwakabidhi nguruwe…

Mourinho, mwisho wa enzi!

NA MWANDISHI WETU Alexis Sanchez anaweza kuwa ameokoa kibarua cha Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho, kufukuzwa mapema wiki hii baada ya kuwafunga Newcastle United 3-2 mwishoni mwa wiki. Endapo Jose Mourinho ‘The Special One’ atafungashiwa virago, Meneja wa Tottenham, raia…