JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MAISHA NI MTIHANI (1)

Maisha ndio mtihani mgumu sana, kuushinda mtihani huu ni kufanya maisha yavutie. Ukipata kazi mtihani, usipokuwa na kazi mtihani. Ukiwa na pesa mtihani, usipokuwa na pesa mtihani. Kama umesoma sana mtihani, kama haujasoma mtihani. Inasemwa kuwa: “Ukiona elimu ni gharama…

Falsafa na uhai wa taifa, miaka 19 baada ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere (2)

Tujifunze kutoka nchini Uingereza.  Nchini Uingereza wananchi wanahimizwa sana kuyasoma maandiko ya mshairi maarufu duniani, William Shakespeare. Waingereza wanafanya hivyo ili kulinda na kudumisha mchango wa mawazo uliotolewa na mshairi huyo katika taifa lake. Wanafanya hivyo pia ili kukirithisha kizazi…

Yah: Busara ni kipawa kwa kijana lakini hutokea kwa nadra

Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kuniweka hai hadi leo. Kwangu mimi ni faida kubwa sana kuongeza kila siku moja katika maisha yangu. Nayaona mengi na bado mapya kabisa katika maisha yangu, kiufupi kila uchao unakuchwa na jambo jipya…

Nukuu ya Rais

Sijatamani na sitatamani kuwa rais wa nchi yetu, kwa sababu nafsi yangu haijapata kunisukuma, moyo haujashituka na akili hazijanishawishi kuwania wadhifa huu. Ingawa napenda kufanya kazi, kusoma na kijifunza maarifa mbalimbali na kusikiliza mawazo na falsafa mbalimbali na uadilifu wa…

Utekwaji wa Mo Dewji: Yatakayojiri

Kutekwa na kupatikana kwa mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (Mo) kutaleta athari kubwa katika mienendo ya maisha ya watu maarufu. Hatuwezi kubashiri iwapo zitakuwa athari nzuri au mbaya. Kwanza, na ambalo litajitokeza mara moja ni kupanda kwa maombi ya umiliki…

Kumpa notisi mtu usiyejua makazi yake

Unatakiwa kumpa mtu notisi lakini haujui anakoishi, hauna pa kumpata, au unajua anakoishi lakini anakukwepa. Wakati mwingine ukienda kwake haufunguliwi mlango au hata ukifunguliwa unaambiwa hayupo. Au yupo umemuona lakini anakataa kabisa kupokea notisi au kuisaini. Unafanya nini katika mazingira kama…