JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sababu zinazochangia tumbo kujaa

Ni hali ambayo mara nyingi mtu huhisi tumbo lake limejaa wakati wote. Kila mmoja amewahi kupata hali hii mara kadhaa kwa nyakati tofauti. Japo ni hali ambayo kwa kawaida hutokana na ulaji kupita kiasi, lakini kuna baadhi pia hawana tabia…

Bravo: Rais Magufuli (1)

Alhamis, Novemba mosi, 2018 inastahili kuwa siku ya kukumbukwa kutokana na lile tukio la Rais John Magufuli kushiriki kikamilifu mdahalo muhimu pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam (Mlimani), katika ukumbi wa Nkrumah. Nafikiri, mkuu wa nchi alijisikia yuko nyumbani…

Ndugu Rais tuonyeshe njia ya kwenda Canaan

Ndugu Rais, imeandikwa; wacha tukuchezee Bwana kwa matendo yako makuu. Wacha tukutukuze Bwana kwa ukuu wako! Mbingu na nchi zinatangaza ukuu wako Bwana, milima nayo yapendeza yamtukuza Yeye. Alipo Wewe Bwana utukufu unashuka! Canaan mji ule! Mji wa divai iliyo…

Maisha bila maadui hayana maana (3)

Mhubiri wa Injili, Israel Ayivor, alipata kusema kwamba yule aliyekusaidia kuzungumza mambo mabaya kuhusu mwenzako ndiye atakayemsaidia mtu mwingine kuzungumza uovu juu yako. Wema ni akiba. Tenda wema uende zako, usisubiri malipo. Kumbuka kwamba watu uliowatendea mema wanaweza kukugeuka lakini…

MAISHA NI MTIHANI (5)

Umri wa kati ni mtihani. Huu ni umri kati ya miaka 35 hadi 59. Ni umri kati ya ujana na uzee. Ni umri ambao mtu anaingia katika kipindi cha pili cha mchezo wa maisha. “Katika umri wa kati moyo hauna…

Pongezi kwa Serikali kupiga ‘stop; GMO

Juma lililopita tumesikia taarifa za kutisha kwamba wabunge wametembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) iliyopo Makutupora, Dodoma na kuridhishwa na matokeo ya utafiti wa mbegu za GMO, mbegu zinazoundwa kwenye maabara. Zilifuatiwa na habari kwamba serikali imesimamisha mara moja…