JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bomu la mafao

Kuna dalili za kukwama kwa kanuni mpya za ukokotoaji wa mafao ya wastaafu zilizotangazwa na serikali. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo imewatoa hofu wananchi kuhusu kanuni hizo ikisema inazisubiri zipelekwe bungeni hata kama zimekwisha kuanza kutumika. Kanuni…

GMO yafyekelewa mbali

Wananchi wadau wa kilimo wameupokea kwa shangwe na nderemo uamuzi wa serikali wa kupiga marufuku majaribio ya uhandisijeni yanayofanyika kwenye vituo vya utafiti nchini. Novemba 21, mwaka huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe, aliiagiza Taasisi ya…

Watua nchini Uingereza kupinga uhifadhi Loliondo

Ujumbe wa watu watano kutoka Loliondo, Tanzania na nchini Kenya, upo nchini Uingereza kuchangisha fedha za kuendesha harakati za kupinga mpango wa serikali wa kutenga eneo la hifadhi ndani ya Pori Tengefu la Lolindo. Hivi karibuni Gazeti la JAMHURI liliandika…

Wakili wa Serikali adaiwa ni Mkenya

Wakili wa Serikali katika Ofisi ya Wakili Mfawidhi Kanda ya Moshi, Omari Kibwana, anadaiwa kuwa si raia wa Tanzania kwa kuzaliwa. Kwa tuhuma hizo, Idara ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro imefungua jalada la uchunguzi ili kubaini ukweli. Kibwana ambaye amekuwa wakili…

Hongera Wizara ya Kilimo, hongereni wapambanaji

Wizara ya Kilimo imezuia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) iliyopo Makutupora, Dodoma kuendelea na utafiti wa mbegu za GMO. Uamuzi huo ni majibu kwa kilio cha wazalendo waliojitokeza kupaza sauti kuhoji uhalali wa chepuo linalopigwa ili kuruhusu mbegu hizo…

Watu watanifikiriaje, inakuchelewesha

Kama kuna neno ambalo limewafanya watu wabaki palepale walipo miaka nenda – rudi ni neno: “Watu watanifikiriaje au watu watasemaje.” Watu wengi wana ndoto kubwa, maono makubwa, mawazo makubwa ya kuibadili dunia na vipaji vingi, lakini wanafikiria watu wengine watawafikiriaje…