JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Aliyemhonga ofisa TRA ahukumiwa Moshi

Meneja wa Fedha wa kampuni za ujenzi za Dott Services (TZ) Ltd na General Nile Company for Roads and Bridges/Dott Services JV, Suresh Kakolu, amehukumiwa kulipa faini ya Sh milioni moja, hivyo kukwepa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa…

Ukatili wa kijinsia waongezeka

Matukio ya ukatili wa kijinsia yanaongezeka. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema mwaka jana kulikuwa na matukio 41,000; kati ya hayo matukio 13,000 yaliwalenga watoto. Wizara inasema asilimia 27 ya wasichana wenye umri wa miaka…

Hii ni aibu rushwa kukwamisha stendi

Habari tuliyoipa umuhimu wa pekee kwenye toleo hili inahusu mkwamo wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi ya mikoani eneo la Mbezi Luis, Dar es Salaam. Tumeeleza namna vitendo vya rushwa vinavyotishia mradi huo mkubwa kwenye sekta ya usafiri…

Jitofautishe, fanya kitu fulani

“Kama unafikiri wewe ni mdogo kiasi cha kuleta tofauti, haujawahi kukesha usiku kucha ukiwa na mbu,” ni methali ya Kiafrika. Mbu ni viumbe wadogo sana, lakini wakati wa usiku tukiwa tumelala huwa wanafanya maajabu makubwa. Unaweza kuwa umelala na haujashusha…

Magufuli asante kuwatumbua Dk. Tizeba, Mwijage

Nafahamu leo zimepita siku kadhaa tangu Rais John Magufuli afanye uamuzi wa kuwatumbua Waziri mwenye dhamana ya Kilimo, Dk. Charles Tizeba na huyu aliyekuwa na dhamana ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage. Sijaandika lolote kuhusu kutumbuliwa kwao. Wasomaji wangu…

Zitambue dalili za sonona

Mwanamke mmoja kati ya watano, na mwanamume mmoja kati ya 10 wamewahi kupata sonona katika jamii zinazotuzunguka na kuleta matokeo hasi katika maisha yao. Takwimu hizi zinadhihirisha kuwa wanawake ndio wahanga wakubwa wa janga hili. ‘Depression’ ni neno la kisayansi…