JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais nani kasema Bunge letu ni dhaifu?

Ndugu Rais, mtu akikutana na mtu anayedhani amelewa, amwambie umelewa. Kama hajalewa atampuuza tu. Ole wake kama atakuwa kweli amelewa. Atayaoga matusi yake. Ataanza na tusi halafu atamuuliza umenilewesha wewe? Hakijaeleweka bado Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali…

MAISHA NI MTIHANI (12)

Kutafuta pesa ni mtihani. “Pesa ni kama mgeni; inakuja leo na kuondoka kesho.” (Methali ya Malawi). Namna ya kupata pesa na namna ya kuitumia ni mtihani. “Kutengeneza pesa ni kama kuchimba kwa sindano, kuitumia ni kama kumwaga maji mchangani.” (Methali…

Kuporomoka maadili nani alaumiwe? (2)

Wiki iliyopita makala hii iliishia pale iliposema kesho ya mtoto  inajengwa na leo, methali ya Kiswahili inatukumbusha maneno haya: “Samaki mkunje angali mbichi.” Itakuwa ni biashara isiyolipa kumkunja samaki akiwa mkavu. Atavunjika, utapata hasara ambayo pengine hukutegemea kuipata. Nakubaliana na Frederick Douglass…

Wamarekani, Waafrika Kusini watuache

Taifa linahitaji fedha. Haya mambo makubwa ya kimaendeleo yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano yatawezekana tu endapo ari ya kubuni, kuendeleza na kusimamia vyanzo vya mapato ya ndani vitatambuliwa na kulindwa kwa nguvu zote. Kama ambavyo Rais John Magufuli…

Yah: Nakumbuka disko la JKT, nadhani lirudi

Kama ilivyo ada ya muungwana, salamu ni jambo muhimu sana kwa msomaji wa safu hii ya kizuzu. Utakubaliana nami kwamba sijawahi kuacha kuwajulia hali. Hii inatokana na mafunzo niliyopata nikiwa kinda kwa wazazi wangu na mwishowe mafunzo ya uzalendo kwa…

Viongozi wetu wanao ukweli, wajibu na uzalendo? 

Nimepata kumsikia kiongozi mmoja wa siasa hapa nchini akisema hawezi kuipongeza serikali, yeye ni mzalendo. Serikali kufanya jambo zuri ni wajibu wake. Yeye ni opposition. Yupo hapo ili kuangalia mambo ambayo hayajatekelezwa, hayajafanywa vizuri na serikali. Anasema serikali ikifanya vizuri ni…