JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Heri ya Mwaka Mpya’ ilivyozua tafrani

Wapo Watanzania wengi ambao tumeiga desturi ya mwanzoni mwa mwaka ya kupongezana na kuombeana mema katika mwaka unaoanza. Ni jambo jema bila shaka, lakini nimegundua pia ni desturi inayoweza kuzua kero na ugomvi baina ya watu. Nimekuwa na utaratibu wa…

Baada ya Dreamliner na Airbus, tupate helikopta

Helikopta za uokoaji ni kitu kingine muhimu sana kinachompasa Rais John Magufuli awafanyie Watanzania baada ya kazi nzuri kwenye Bombardier, Dreamliner na Airbus. Tunahitaji kwa uchache helikopta moja ya uokoaji kwa kila kanda. Tuanze na kanda kabla ya mkoa kwa…

MAISHA NI MTIHANI (13)

Matatizo ni mtihani. “Matatizo huzaa matatizo; lakini matatizo ni mazalio makubwa ya mafanikio. Mara chache mafanikio ya kweli, maendeleo ya kweli yanakuja kwa njia nyingine,” alisema Gerald Jaggers. Matatizo ni fursa ya kupiga hatua mbele. Likabili tatizo, usilizunguke, usilikwepe. “Matatizo…

Kuporomoka maadili nani alaumiwe? (3)

Wiki iliyopita katika mfululizo wa makala hii tuliishia pale mwandishi aliposema ni nani amewaandalia haya mazingira? Ni mimi au wewe?  Ni yule au wao wenyewe? Jibu ni si yule wala wale, si yeye. Ni mimi na wewe, kwa nini ni…

Rais nakuomba utafakari upya (1)

Ndugu Rais, niruhusu nianze kwa kumnukuu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu alisema: “Kudumisha uhai wa wanyamapori wetu ni suala linalotuhusu sana sisi sote katika Afrika. Viumbe hawa wa porini pamoja na mapori wanamoishi si tu kwamba ni muhimu…

Yah: Unabii katika uongozi wa nchi yetu

Nianze na salamu kama kawaida na kuwapa pongezi tena ya kuendelea kuwa nasi katika gazeti letu ambalo nina hakika tunawafikia vizuri na tunawafikia pale ambapo wenzetu wengi wamekoma. Lengo letu hasa ni kuwapa taarifa na si kuwapa uzushi, tunaahidi mwaka…