JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Walioondolewa Takukuru wapangiwa vituo

Waliokuwa wafanyakazi wa Taasisi ya Kuzuaia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), walioenguliwa wameanza kupangiwa majukumu katika idara na taasisi nyingine za serikali. Waliopangiwa vituo tayari ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma, Ekwabi Mujungu, ambaye amehamishiwa Ofisi ya Katibu Tawala…

Kwimba wavutana ziliko Sh bilioni 2

Shilingi bilioni 2.27 zinadaiwa kutumika kinyume cha taratibu na sheria ya fedha katika Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza. Fedha hizo ni mapato ya vyanzo mbalimbali ambayo hayakuwapo kwenye mpango wa bajeti ya halmashauri hiyo wa mwaka wa fedha…

Kamwe tusijisahau, tuwe macho dhidi ya magaidi

Kwa mara nyingine genge la magaidi limeshambulia na kuua majirani zetu kadhaa wa jijini Nairobi, Kenya. Imeripotiwa watu 21 wamepoteza maisha kwenye shambulizi hilo. Tunawapa pole ndugu wa marehemu, majeruhi na wote walioathiriwa kwa namna moja au nyingine na tukio…

Nina ndoto (3)

Kila mtu aliyepo duniani ana sababu ya kwanini alizaliwa. Mungu haumbi mtumba. Mungu anaumba vitu orijino kabisa. Hakuna aliyezaliwa aje duniani kuzurura. Hakuna aliyezaliwa aje kusindikiza wengine duniani. Maisha ni zawadi tuliyopewa na Mwenyezi Mungu. Kuna kila sababu ya kuketi…

Congo yawapuuza wanaobeza uchaguzi

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekataa katakata wito uliotolewa na Umoja wa Afrika (AU) kucheleweshwa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais. AU wanasema kuwa wana wasiwasi mkubwa kuhusu uadilifu wa matokeo ya mapema ambayo yalimpatia ushindi, Felix…

Watu 70 waungua moto

Mexico Bomba la mafuta nchini Mexico limelipuka na kuua watu zaidi ya 70 huku wengine 71 wakijeruhiwa vibaya baada ya watu wasiofahamika kutoboa bomba hilo kwa nia ya kuiba mafuta. Katika mji wa Tlahuelilpan, Jimbo la Hidalgo, mwishoni mwa wiki…