JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Historia ya Sikukuu ya Valentine’s Day (2)

Wiki iliyopita makala hii inayomhusu Mtakatifu Valentino iliishia pale ambapo aliweza kuhamasisha upendo na taratibu watu walianza kujirekebisha na upendo ukaanza kurudi ndani ya ndoa.  Hata hivyo Mfalme Claudio alimchukia Valentino na kumfunga gerezani. Endelea… Wachumba walifundishwa na Valentino kwamba…

MAISHA NI MTIHANI (15)

Mawazo ni mtihani. “Mawazo yana nguvu kuliko bunduki,” alisema Joseph Stalin. Mawazo yakisongana yanaleta msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo unadhoofisha mwili. Mawazo ni mtihani. Chunga mawazo yako yanazaa maneno. Chunga maneno yako yanazaa matendo. Chunga matendo yako yanazaa tabia….

Tusiwe taifa la kuwaza mapumziko

Rais John Magufuli alipozungumza na viongozi wa dini, kwa chini chini kulionekana tofauti za hapa na pale. Tofauti hizo hazikuzungumzwa kwa mwangwi, na kwa maana hiyo ilisaidia kutoibua hisia za utengano. Kiongozi mmoja wa Kikristo alitoa maombi yaliyonikumbusha maneno niliyopata…

Hekima na busara zitawale wasanii

Walimwengu wanatambua wasanii wa muziki ni kundi ambalo linatoa mafunzo yenye maarifa mbalimbali kwa jamii. Tungo zao hutazamwa kwa shauku kubwa, kwa matarajio ya kuelimisha na kuburudisha jamii. Aidha, ndimi zao zinatawaliwa na adabu. Katika fasihi hii namtazama mwana mama…

Yah: Njombe nini kimetusibu, ni ukarimu wetu?

Kabla sijaanza na salamu ni vema nikatumia fursa hii kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa na watoto wote waliopoteza marafiki zao wa utotoni. Wapo watoto ambao kwa kitendo hiki huenda ndoto zao pia zikawa zimekufa kutokana na wenzao kutendewa matukio ya…

Kipanya: Nilikotoka

Mchora katuni maarufu, Ally Masoud (Masoud Kipanya), amesema hataogopa kumchora rais wa nchi kwa kuwa havunji sheria na kwamba uchoraji wa katuni umedumu kwa muda mrefu duniani kote. Kipanya licha ya kuwa ni mchoraji wa katuni, pia ni mtangazaji wa…