JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Diwani CHADEMA ashikiliwa kwa tuhuma za kuua kwa kumpiga risasi mkulima

ALIYEKUWA Diwani wa Kata ya Bendera wilayani Same mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mwaka 2015-2020, Michael Mcharo (52), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma la mauaji ya Edson Shangari (59), mkulima kwa kumpiga…

Waziri Ulega aagiza miradi ya BRT ikamilike kabla ya msimu wa mvua za masika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewaagiza wakandarasi wanaojenga barabara za Mradi wa Mabasi Yanayoenda Haraka (BRT) mkoani Dar es Salaam kuhakikisha ujenzi unakamilika kabla ya msimu wa mvua za masika mapema mwakani ili…

‘Rais Samia anawajali wenye mahitaji maalum’

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan anawajali watu wenye Mahitaji Maalum kwani ameweka mazingira mazuri ya kuwalinda na kuwapatia…

Jeshi la Kongo ‘ladungua ndege zisizo na rubani’ za Rwanda

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ‘limedungua’ ndege sita zisizo na rubani za Kamikaze za Jeshi la Rwanda katika mji wa Mambasa eneo la Lubero katika Mkoa wa Nord Kivu. Msemaji wa Jeshi Lt Kanali Mak Hazukay alisema waasi…

Waandishi wa habari watano Gaza wauawa

Kituo cha Televisheni cha Palestina kimesema waandishi wa habari watano kutoka kituo hicho wameuawa katika shambulizi la Israeli katika Ukanda wa Gaza katikati. Walikuwa katika gari la Quds Today lililokuwa limeegeshwa nje ya hospitali ya al-Awda, ambapo mke wa mmoja…

Wataalamu wa lishe Igunga watakiwa kuongeza ubunifu

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WATAALAMU wa Lishe katika halmashauri ya Wilaya ya Igunga Mkoani hapa wametakiwa kuongeza ubunifu utakaoleta matokeo chanya miongoni mwa jamii ikiwemo kuboreshwa afya zao. Rai hiyo imetolewa juzi na Mkuu wa Wilaya hiyo Sauda Mtondoo…