JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tambo zaanza kuelekea Afcon

Kocha wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Sebastien Desabre, amesema timu ya taifa ya soka ya Zimbabwe ina nafasi finyu katika kundi ‘A’ kwenye michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) baadaye mwezi Juni, mwaka…

‘Tunateseka’

Mahabusu wawili wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, wakidai wanashtakiwa kwa kosa la kuua ilhali aliyefanya mauaji hayo na kukiri yuko huru uraiani. Michael Laizer na Lucas Mmasi, wanashikiliwa katika Gereza Kuu Mkoa wa Arusha,…

‘Mjadala wa CAG, Bunge si utekelezaji wa ilani’

Mpita Njia, maarufu kwa ufupisho wa MN, kwa wiki nzima iliyopita amesikia mijadala mingi katika mitaa kadhaa aliyopita wakati wa shughuli zake za kawaida za kila siku. Mijadala hii ilihusu Azimio la Bunge tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Sekondari ya Filbert Bayi kushtakiwa mahakamani

Baba mzazi wa mwanafunzi aliyeruhusiwa na Shule ya Sekondari ya Filbert Bayi iliyoko Kibaha, Pwani kufanya mtihani wa taifa kwa mwaka jana akiwa mjamzito amedhamiria kuishtaki shule hiyo kwa kuharibu ndoto za mwanaye. Egbert Bayi, baba mzazi wa mwanafunzi (jina…

Rais Magufuli azima umegaji hifadhi

Rais John Magufuli amekataa mapendekezo ya wanavijiji katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, ya kutaka wamegewe ardhi katika Pori la Akiba la Selous. Amewaonya wanasiasa ambao hutumia ghiliba wakati wa kampeni kwa kuahidi kuwa wakichaguliwa watahakikisha wanamega maeneo ya hifadhi…

BoT wamtosa mteja aliyeibiwa Ecobank

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema haiwezi kufanya chochote kumsaidia mfanyabiashara aliyeibiwa fedha kwenye akaunti yake katika Ecobank, Tawi la Uhuru, jijini Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania (Divisheni ya Biashara) imeitia hatiani Ecobank Tanzania Limited kwa kumwibia mteja…