JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasaidizi, mnamsaidia?

Nianze kwa kuwatakia heri ya Pasaka pamoja na Sikukuu ya Wafanyakazi. Wiki mbili zilizopita ambazo zimekuwa na siku za mapumziko nyingi, zimenipa nafasi ya kutafakari kuhusu namna Rais Dk. John Magufuli anavyofanya kazi zake. Wiki moja kabla ya Pasaka rais…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (12)

Katika sehemu ya saba ya makala hii nilihitimisha na aya hii: “Je, unafahamu utaratibu wa kisheria wa kusajili Jina la Biashara, gharama ya usajili, muda wa kukamilisha usajili, nyaraka zinazotakiwa, umri wa mtu anayetaka kusajili Jina la Biashara na matakwa…

Rais Magufuli ‘amewaponya’ Ruvuma, Mbeya wanafuata

Ziara ya Rais Dk. John Pombe Magufuli mkoani Ruvuma imebadili mawazo ya wananchi baada ya kero zao kujibiwa lakini ikaacha majonzi kwa wananchi wilayani Songea Mjini kutokana na mkutano wa Rais kutekwa na mawaziri na kukatishwa na mvua kubwa iliyomkaribisha…

Ni demokrasia Arumeru Mashariki?

Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanashangilia ushindi wa Jimbo la Arumeru Mashariki wa mgombea wao kupita bila kupingwa ni muhimu kwa watu makini wa taifa hili kufanya tafakuri ya nguvu juu ya matukio haya ndani ya taifa letu. Na swali…

Ndugu Rais, sasa ‘ruksa’ mtumishi akapumzike

Ndugu Rais, naandika kutoa ushuhuda ili wote wanaopitia katika majaribu magumu watambue kuwa wanaomtegemea Mungu hawatafadhaika kamwe. Alhamisi iliyopita Aprili 25, 2019 nilikuwa Ifakara High School kushiriki katika mahafali ya wahitimu wa kidato cha sita, binti yangu alikuwa miongoni mwao….

Angekuwepo Mwalimu Nyerere…

Kama angekuwa hai, tarehe 13, Aprili 2019 Mwalimu Nyerere angetimiza umri wa miaka 97. Muda mfupi kabla ya hapo, nilifikiwa na ugeni wa mtu aliyejitambulisha kwanza kama ni jamaa yangu kwenye ukoo wetu lakini ambaye sijapata kuonana naye. Hilo si…