JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Bila elimu – dini tutakwama’

Miaka 20 kifo cha Mwalimu Nyerere Mei 16, mwaka huu Chama cha Wanataaluma Wakristo Tanzania (CPT) ambacho ni chama cha kitume ndani ya Kanisa Katoliki kiliandaa kongamano la kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Dhamira…

Bandari inafanya kazi saa 24

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na wadau wake wa bandari imeboresha na kurahisisha utoaji huduma kwa wateja wake katika Bandari ya Dar es Salaam. Uboreshaji huo umefanyika na unaendelea kufanyika kwa sababu bandari ni lango kuu…

‘Wosia’ wa Dk. Reginald Mengi

Jumanne, Mei 7, mwaka huu maelfu ya Wana Dar es Salaam walikusanyika katika Ukumbi wa Karimjee kuaga mwili wa mpendwa wetu Dk. Reginald Mengi. Runinga za ITV, Star TV, Channel 10, Clouds TV, televisheni za mitandao ya kijamii na redio…

Ndugu Rais hakuna aliyeumbwa kwa bahati mbaya

Ndugu Rais, mwanetu Atosha Kissava katika wimbo wake wa Moyo wangu, aliimba, “Moyo wangu utakusifu wewe Baba, utakusifu milele! Najua uliniumba nitimize kusudi lako Baba. Siko hapa kwa bahati mbaya’’, yuko Mtanzania mwenzetu ambaye kwa asiyemjua, kwa jina lake peke…

Mrejesho makala ya “Mwalimu angekuwepo angesemaje?”

Jumanne, Mei 7, 2019, wakati nimeketi kibarazani kwangu nasoma Gazeti la JAMHURI, Toleo Namba 397 la tarehe 7 – 13 Mei 2019, alikuja jirani yangu anaitwa Imma, kijana wa miaka 25. Kabla sijamwonyesha nilichokuwa nasoma, nikamuuliza: “Unadhani Mwalimu Nyerere angekuwepo…

Wanaotaka kufika kileleni Kilimanjaro wasibebwe

Nimesikia Serikali inatathimini kuweka cable car kwenye Mlima Kilimanjaro ili kuwafikisha wageni kileleni kwa haraka. Cable car ni mfumo wa usafiri unaobeba abiria kwenye behewa dogo linalosafiri kwa kuning’inia kwenye waya zilizopitishwa kwenye nguzo. Naamini zipo sababu nyingi nzuri za…