JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Viongozi wetu wasome magazeti yote

Kinyume cha ulemavu wa fikra ni upevu wa fikra. Ili upate upevu wa fikra ni lazima kuelimishwa na juhudi binafsi za kusaka maarifa. Lakini pia kusikiliza na kujifunza kutoka kwa wengine. Kwa viongozi ni muhimu sana kusikiliza maoni kwenye jamii…

Aliyesababisha ndoa kuvunjika anastahili mgawo wa mali?

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ikiwa mmoja wa wanandoa aliyesababisha ndoa kuvunjika kama anastahili mgawo wa mali. Mfano, mwanamke katika ndoa anaanzisha chokochoko makusudi ili ndoa ivunjike apate mgawo wa mali aendelee na maisha yake au mwanamume kwa tabia zake mbaya…

Usiamini uwepo wa uchawi (2)

Chunguza, utabaini kwamba uwepo wa makanisa haya ni kichocheo cha uwepo wa ushirikina. Sipingi uwepo wa makanisa. Hapana, ila napinga uwepo wa wachugaji ambao hawafahamu teolojia ya maandiko matakatifu. Siwezi kuchelea kuandika kwamba, baadhi ya wachungaji wengi wa makanisa hawafahamu…

MAISHA NI MTIHANI (32)

Unatokaje, unaingiaje? Kuingia na kutoka ni mtihani. Kuna kitendawili kisemacho: “Aliingia kwenye nyama akatoka bila kula.” Jibu ni kisu. Mwanafunzi akiingia shuleni kujifunza na kutoka bila ushindi ametoka kama kisu kwenye nyama.  Timu ya mpira ikiingia uwanjani na kutoka imefungwa…

Tumbaku inavyosababisha jangwa Tanzania

Kupatikana teknolojia ya kukausha tumbaku kwa kutumia nishati jadidifu inayotokana na jua nchini China ni jambo la kuigwa na wakulima wa tumbaku kutoka katika mikoa inayolima tumbaku hapa nchini ili kuinusuru misitu inayoteketea. Teknolojia hiyo iliyogunduliwa katika nchi za China…

Demokrasia na haki za binadamu

Demokrasia ni uhuru na uwezo wa watu katika kutawala mwenendo na mambo yote yanayohusu maisha yao kwa kutumia vikao vilivyowekwa kikatiba na kisheria. Demokrasia na haki za binadamu si misamiati mipya kwa Watanzania kuelewa na kutumia katika harakati zao za…