Latest Posts
Wananchi zaidi ya elfu moja wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid Arusha
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Wananchi zaidi ya elfu moja wamefikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid iliyoanza March 1 mwaka huu Jijini Arusha huku idadi kubwa ikitajwa kuwa ni wanaume. Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kampeni hiyo…
Umeme ni nishati nafuu zaidi jikoni zaidi : Gissima
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema umeme ni nishati nafuu zaidi kupikia na kuwahimiza Wanzania kutumia fursa ya uwepo wa umeme katika kila Kijiji na kutumia…
Wanawake wa jamii ya Kihadzabe wapaza sauti Siku ya Wanawake duniani
Na Maipac Team- [email protected] Wanawake wa Jamii ya wahadzabe wanaoishi katika eneo la Eyasi wilayani Karatu Mkoani Arusha wamepaza sauti katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa kumuomba Rais Samia Suluhu asikilize kilio chao. Wakizungumza katika mdalaho wa siku…
Mhandisi Sanga akemea tabia ya baadhi ya makabila kusema ardhi ni mali yao
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mhandisi Anthony Sanga amekemea tabia ya baadhi ya watu kuita ardhi ya eneo fulani ni mali ya kabila fulani na badala yake amewakumbusha kuwa sera ya ardhi inatamka kuwa mali…
Dk Mwinyi azihamasisha nchi za EAC kuanzisha mifuko ya maendeleo ya petroli
📌 Asema lengo ni kuwa na uhakika wa kuendeleza Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia 📌 Afunga Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Afrika Mashariki 📌 Ataka Rasilimali na Mafuta na Gesi Asilia kuchangia maendeleo ya Sekta nyingine Rais wa…
Nishati safi yarahisisha zoezi la uchomaji nyama
Wafanyabishara wa nyama choma Jijini Arusha wamesema kuwa uchomaji nyama kwa kutumia majiko ya Nishati Safi ya kupikia kumerahisisha zoezi la uchomaji na kuongeza ladha ya nyama. Wamesema kuwa majiko hao yamekuwa yakichoma kiasi kikubwa cha nyama kwa Muda Mfupi…