JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Trump: Ukraine inachelewesha kumalizika kwa vita

Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kukataa kukubali kulipoteza eneo la Crimea ambalo tayari linakaliwa kimabavu na Urusi ili kumaliza vita baina ya nchi hizo mbili. Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama…

Balozi Nchimbi azungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu Mara

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mara, kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Mara, leo Jumatano tarehe…

Tanzania yapiga marufuku uingizwaji wa mazao kutoka Malawi na Afrika Kusini

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi utekelezaji wa marufuku ya uingizwaji wa Mazao ya kilimo kutoka nchi za Malawi na Afrika Kusini, ikiwa ni hatua ya kulinda maslahi ya wakulima na wafanyabiashara wa Kitanzania kufuatia uamuzi wa…

Wasira: Viongozi wa dini wametutia nguvu kuendelea na uchaguzi mkuu

Wasira: Viongozi wa dini wametutianguvu kuendelea na uchaguzi mkuu *Asema ushauri wao pamoja na wadau wengine utaendelea kuzingatiwa*Asisitiza kuwa Dk. Samia kwa miaka minne amefanya kazi kubwa*Atoa mwanga jinsi ilani ijayo ya CCM itakavyoleta ahueni kwa wakulima Na Mwandishi Wetu,…

Dk Mpango: Kuna haja ya kuweka utalii wa vyakula katika utambulisho wa utalii Afrika

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema ipo haja ya kuweka utalii wa vyakula katika msingi wa utambulisho wa utalii wa Afrika ikiwemo kuimarisha mvuto wake kimataifa kwa kuweka…

Makalla: Uteuzi wa CCM sio kamari, viongozi acheni ahadi za uteuzi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla, amewaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotoa ahadi za uteuzi kwa watia nia wa…