Latest Posts
Rais Samia ameweza, sasa tunaingia mwaka wa fitina
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo ni Desemba 31, 2024. Tunaumaliza mwaka. Ikiwa unasoma makala hii, basi ujue nawe ni mmoja wa wateule wa Mungu alioendelea kuwajalia pumzi. Ni vema na haki tumshukuru Mungu kwa kuendelea kutujalia uhai,…
Nani kuwa mrithi wa Kinana CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NANI atakuwa makamu mwenyeki ti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara ni swali ambalo limeku wa likiulizwa na makada wa CCM na hata wafuatiliaji wa karibu wa siasa nchini, hasa mwaka huu…
Bondia Mandonga atoa shukrani za dhati kwa Rais Samia kuuona mchezo wa ngumi
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam BONDIA wa ngumi maarufu nchini Karim Mandonga amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa upendo kuunga mkono mchezo wa ngumi na kuanza akitoa zawadi kwa washindi wa mapambano mbalimbali ili kuwapatia hamasa….
Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao yaweka tabasamu mwaka mpya 2025 kwa wenye ulemavu
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao, imemaliza Mwaka 2024 na kuukaribisha Mwaka wa 2025 Kwa kutoa misaada mbalimbali Kwa watu wenye ulemavu na mahitaji Maalum. Akizungumza jijini Dar es Salaam Desemba 31, 2024 hafla…
Ruto akiri ukiukaji wa polisi katika maandamano
RAIS wa Kenya William Ruto amekiri ukiukaji uliofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo, kufuatia maandamano ya kupinga wimbi la hivi majuzi la madai ya utekaji nyara ambayo yamezua ghadhabu nchini humo. Ruto amesema kwenye hotuba yake ya mwaka…
Makamu wa Rais ashiriki Ibada ya Mwaka Mpya 2025 Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiambatana na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na Waumini mbalimbali katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Bikira Maria Mama wa Mungu na Mwaka Mpya…