JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (25)

Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji: “Mpendwa msomaji, je, unafahamu kodi inayoitwa Kodi ya Ongezeko la Mtaji (Capital Gains Tax) na inatozwa kwenye bidhaa zipi? Ni bidhaa mbili ambazo kwa njia moja au nyingine watu wengi hata wasiokuwa wafanyabiashara…

Migahawa ya kimataifa yapenya China kibiashara

Katikati ya mivutano ya kibiashara kati ya China na Marekani, mgahawa wenye mtandao mkubwa nchini Marekani umeanza kujipenyeza China kibiashara. Hali hiyo inajitokeza katika wakati ambao hivi karibuni Marekani na China zimeonyesha kutunishiana misulu baada ya Rais Donald Trump wa…

Hotuba ya Rais uzinduzi wa Terminal III Uwanja wa JNIA Agosti 1, 2019

Rais Magufuli: Watanzania tukatae kuitwa maskini Ndugu zangu, nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutukutanisha leo hapa tukiwa wazima na wenye siha njema. Pia namshukuru sana Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kwa kunialika kwenye hafla hii ya uzinduzi wa…

TPA: Bandari ya Mtwara ni fursa mpya kwa nchi za SADC

Katika makala hii tunakuletea maelezo kuhusu Bandari ya Mtwara, ambayo ni miongoni mwa bandari za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ambazo zipo kimkakati katika kuhudumia soko la nchi za SADC.  Bandari hii ya Mtwara inasimamia bandari ndogo ndogo za…

Ndugu Rais tuandalie meza ya maridhiano

Ndugu Rais, tumtangulize Muumba wetu kwa kuwashukuru wachungaji na mapadri wa Dodoma ambao kwa wakati wote wamekuwa wakiniombea uzima wawapo katika sala zao! Nimeisikia sauti yenu na baba yenu wa mbinguni anazipokea sala zenu. Mwenyezi awabariki ili siku moja mje…

Barua ya wazi kwa Rais John Magufuli

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni mahabusu ambaye nimo gerezani kwa amri ya mahakama nikituhumiwa kesi ya kubambikiwa ya mauaji. Nimo gerezani tangu Mei 08, 2016 mpaka hivi sasa unavyosoma barua hii. Mheshimiwa Rais, sababu ya kupewa…