JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wawili wahukumiwa kifungo cha maisha jela, wanne miaka 30

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepata mafanikio makubwa kufuatia kuhukumiwa kwa watuhumiwa kadhaa wa makosa ya kikatili ambao mashauri yao yalikuwepo katika Mahakama mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kamanda…

Kaya 16, 275 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Mtwara

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka mradi wa majiko ya gesi (LPG) ya kilo sita kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50…

Madereva 30 wafungiwa leseni kwa kukutwa na kiwango kikubwa cha ulevi

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa ripoti ya hali ya kiusalama barabarani katika kipindi cha sikukuu za Krismas na Mwaka Mpya. Akizungumza na wanahabari leo Januari 2, 2025, Kamanda…

Waasi wa ADF wawaua watu 12 mashariki mwa Kongo

WATU wasiopungua 12 wameauwa katika mashambulizi mapya ya waasi wa kundi la ADF lenye mafungamno na kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS. Watu wasiopungua 12 wameauwa katika mashambulizi mapya ya waasi wa kundi la ADF lenye mafungamno na kundi linalojiita…

Waziri Israel atishia kuzidisha mashambulizi Ukanda wa Gaza

Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ameapa kuzidisha mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza ikiwa kundi la wanamgambo wa Hamas halitoacha kurusha maroketi kuelekea Israel. Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ameapa kuzidisha mashambulizi ya Israel katika…

MGORORO WA FAMILIA…Kaburi la Jenerali lafukuliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma Katika tukio la nadra, mgogoro ulioibuka kwenye familia ya marehemu Meja Jenerali Prof. Dk. Yadon Kohi, umesababisha kufukuliwa kwa mwili wake na kuzikwa upya katika kitongoji kingine.Tofauti na mazishi ya awali yaliyopambwa na taratibu za…