JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SADC imepata ‘chuma’

Jumuiya ya kimataifa pamoja na nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wanasubiri kuona mageuzi makubwa yatakayoletwa na Rais Dk. John Magufuli, ambaye ndiye mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo. Tayari katika hotuba yake ya kukubali majukumu yake…

Maboresho bandari Ziwa Nyasa kunufaisha Ukanda wa SADC

Miradi mbalimbali inayofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika bandari za Ziwa Nyasa, inatazamiwa kuongeza ufanisi maradufu katika uhudumiaji na usafirishaji mizigo. Hatua hiyo inaelezwa kwamba itazinufaisha pia nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika…

Ndugu Rais tulipewa Julius Nyerere lakini hatukumjua aliyetupa

Ndugu Rais, imeandikwa kuwa Yesu Kristo kabla ya kuondoka, aliwaambia wanafunzi wake, “Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu kamwe hayatapita!’’ Miaka zaidi ya 2000 imepita tangu kifo chake, lakini ulimwengu unashuhudia maneno yake yangali yamesimama vilevile nukta kwa mkato…

‘Rais, pensheni yangu Brigedia Jenerali ni 100,000 tu’

Sehemu iliyopita, mwandishi alieleza kuwa kwa mujibu wa sheria ya pensheni, wakongwe wanalipwa fedha kidogo mno. Akasema wakongwe wote wanarundikwa katika kapu au fungu moja la malipo ya uzeeni – na wote wanalipwa Sh100,000 (laki moja) tu kila mwezi bila…

Afrika inahitaji mabingwa wa kusaka umoja

Mwaka 1994 akiwa mgeni rasmi kwenye sherehe iliyofanyika Arusha ya kuvunja Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Mwalimu Julius Nyerere alitoa ujumbe ambao unafaa kurudiwa. Alisema waasisi wa OAU waliokutana jijini Cairo; Mei 1964 walijipangia…

Kuomba kutambuliwa kama mzazi wa mtoto

Wako watu ni wazazi na wamezaa lakini wameyimwa watoto. Zipo sababu nyingi katika jambo hili. Matukio ya namna hii hayawatokei sana wanawake bali wanaume. Ni rahisi na kawaida mno mwanamume kuambiwa na mzazi mwenzake  kuwa huyu  mtoto si wako hata …