JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

HOTUBA YA MHESHIMIWA DK. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUFUNGA MKUTANO WA 39 WA WAKUU WA NCHI WA SADC DAR ES SALAAM, TAREHE 18 AGOSTI, 2019

Naomba nianze kwa kutoa taarifa. Jana, baada ya kusoma sehemu ya hotuba yangu ya ukaribisho kwa kugha ya Kiswahili; Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC walifurahi na kuvutiwa sana. Hivyo basi, tulipokwenda tu kwenye mkutano wetu wa ndani, wote…

Maendeleo Bukombe yanavyokimbia (1)

Bukombe ni moja ya wilaya zinazopatikana katika Mkoa wa Geita. Wilaya hii inakadiriwa kuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 8,055.59 huku asilimia 21.9 likiwa ni eneo la makazi (km. 1,766.59), eneo linalobaki ambalo ni kilometa za mraba 6,289 ni…

Bandari Mtwara mlango muhimu SADC

SERIKALI ya Tanzania imekuwa ikiboresha bandari nchini kote ikilenga kurahisisha huduma za usafirishaji wa majini kwa ajili ya Watanzania na nchi nyingine zinazotumia bandari za Tanzania. Moja ya bandari ambayo inaboreshwa kwa kiwango kikubwa ikiwa ni pamoja na kujengwa gati…

Ndugu Rais, Willbrod Slaa ni balozi, padri mpinzani

Ndugu Rais, Watanzania wa leo wengi wana fikra nzito kuliko baadhi ya waheshimiwa. Nimetumiwa meseji mbili. Ya kwanza mwandishi anasema amesukumwa na makala yangu niliyoiandika miaka tisa iliyopita ikiwa na kichwa cha habari, “Rais wangu Kikwete kwaheri ya kuonana wapambanaji…

Tusipotoshe kauli tukaiharibu nchi

Siku ya Ijumaa ya Agosti 9, mwaka huu nilipigiwa simu na marafiki zangu wawili kwa nyakati tofauti na kutoka maeneo tofauti. Simu ya kwanza ilitoka maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam na simu ya pili ilitoka jijini Mwanza kule Usukumani….

Kiswahili kimepandishwa hadhi na SADC

Mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community, kwa Kiingereza, au SADC kwa kifupi), uliyomalizika Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, mwaka huu umeidhinisha matumizi ya lugha ya Kiswahili…