JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Tumeuza kila tulichonacho, hatuwezi kutoka Muhimbili’

Mkazi wa Wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma, Sijawa Jafar, mwenye umri wa miaka 35 ameiomba serikali na wadau mbalimbali kujitokeza kumsaidia kulipia gharama za matibabu ya mumewe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili zinazofikia Sh milioni 3.7, baada ya…

Serikali yazinduka matrekta mabovu

Na Deodatus Balile Baada ya Gazeti la JAMHURI kuchapisha habari za ubovu wa matrekta ya URSUS yanayouzwa kwa wakulima nchini kutoka Poland, Bunge limeibana serikali, ambayo nayo imezinduka na kuchukua hatua, JAMHURI linathibitisha. Kampuni ya URSUS S. A. iliingia mkataba…

‘Trafiki’ Dar wanatosha

Wakati Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, akifikiri kuongeza idadi ya askari wa usalama barabarani, mamlaka ndani ya Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inao askari hao wa kutosha. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP),…

TRAWU wafukuzana Dar

Wanachama wa matawi matano wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) wamekutana jijini Dar es Salaam na kuunga mkono uamuzi wa Kamati Maalumu ya Dharura wa kuwasimamisha kazi viongozi wa kitaifa wa chama hicho. Hatua hii imetokana na mgogoro…

Matrekta ya URSUS yadhibitiwe

Kwa wiki tatu mfululizo tumekuwa tukiandika habari juu ya mkataba wa kununua matrekta na kujenga kiwanda cha kuunganisha matrekta cha URSUS kilichopo wilayani Kibaha. Kiwanda cha kuunganisha matrekta kwa mujibu wa mkataba ilibidi kiwe kimekamilika Juni, mwaka jana. Hadi leo…

NINA‌ ‌NDOTO‌ ‌(33)‌

Nitawezaje‌ ‌kuamka‌ ‌mapema?‌ ‌ “Ni‌ ‌jambo‌ ‌la‌ ‌aibu,‌ ‌ndege‌ ‌wa‌ ‌angani‌ ‌waamke‌ ‌kabla‌ ‌yako,”‌ ‌alisema‌ ‌Abu‌ ‌Bakr,‌ ‌rafiki‌ ‌wa‌ ‌karibu‌ ‌sana‌ ‌wa‌ Mtume‌ ‌Muhammad.‌ ‌ Siku‌ ‌moja‌ ‌wakati‌ ‌natazama‌ ‌video‌ ‌katika‌ ‌mtandao‌ ‌wa‌ ‌Youtube‌ ‌nilikuta‌ ‌video‌ ‌iliyokuwa‌ ‌ikimuonyesha‌ bondia‌ ‌maarufu‌…