JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nje ya magereza wapo wanaoonewa

Hivi karibuni Rais John Magufuli kwa uwezo aliopewa na Katiba ya nchi aliwasikiliza wafungwa waliomo gerezani Butimba, Mwanza na kubaini kwamba wapo walioonewa na kuwekwa gerezani kwa njia za ukatili tu kama kukomolewa. Akaamuru waondolewe. Hiyo ni hali ya utu…

UJUMBE KUTOKA IKULU

HOTUBA YA MHE. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA MAZUNGUMZO NA WASHIRIKI WA MKUTANO WA JUKWAA LA UONGOZI AFRIKA, IKULU, DAR ES SALAAM,  TAREHE 30 AGOSTI 2019   Ni heshima kubwa kwangu…

BURIANI KOMREDI IBRAHIM MOHAMED KADUMA

‘Kikitokea chama kama CCM ya Nyerere kitatawala milele’   Mwaka 2012 Gazeti la JAMHURI lilifanya mahojiano maalumu na mzee Ibrahim Kaduma nyumbani kwake Makongo Juu, Dar es Salaam. Tunaleta sehemu ya mahojiano hayo kama tulivyoyachapisha wakati huo. Mzee Kaduma alifariki…

Bandari: Usalama wa mizigo 100%

Miaka michache iliyopita, Bandari ya Dar es Salaam ilikuwa na changamoto ya usalama wa mizigo ya wateja. Mhandisi Deusdedit Kakoko alipoteuliwa Juni 25, 2016 kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), aliahidi kuimarisha ulinzi na kuondoa udokozi bandarini….

Wanaiingiza nchi katika machafuko wakisingizia wanakupenda

Ndugu Rais, walituambia kukaa kimya ni kukubali yote; bali kukemea yasiyofaa ndiyo busara na hekima ya kiongozi bora. Watu wako baba wanakupenda kama walivyowapenda marais wengine waliokutangulia. Sasa huu wasiwasi unatokea wapi? Watu wamejaa wasiwasi mwingi katika macho yao. Wasiwasi…

Inahitaji ujasiri wa simba kufichua maovu

Mara kwa mara katika hotuba zake Rais John Magufuli hukumbusha wajibu wa viongozi katika ngazi zote kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia wapiga kura. Amekumbusha tena kwenye hotuba yake hivi karibuni kwa watendaji wa kata aliyowaalika Ikulu. Alisisitiza umuhimu wa watendaji…