JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baba utufundishe kutafakari

Ndugu Rais, tunasoma katika Biblia Takatifu kuwa wanafunzi wake Bwana Yesu walimwambia, “Mwalimu utufundishe kusali kama Yohani Mbatizaji alivyowafundisha wafuasi wake”. Yesu akawajibu akawaambia, “Mnaposali salini hivi; Baba yetu uliye Mbinguni, jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike, utakalolifanyike duniani kama…

JAMHURI mmemtendea haki Dilunga

Safari ya mwisho hapa duniani ya aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la JAMHURI, Godfrey Dilunga, imehitimishwa wiki iliyopita baada ya mwili wake kuhifadhiwa katika makaburi ya Bigwa, mkoani Morogoro. Dilunga alifariki dunia alfajiri ya Septemba 17, 2019, baada ya kusumbuliwa kwa…

kumkumbuka Mwalimu Nyerere

Oktoba 14, 2019 itatimia miaka 20 tangu Mwalimu Julius Nyerere alipofariki dunia. Tangu afariki imekuwa desturi kwamba, kunapokaribia kumbukizi ya kifo chake, tunashuhudia ongezeko la matukio yaliyojaa kumbukumbu za maisha yake. Vyombo vya habari hurudia hotuba na nukuu zake au…

Mwisho wa kutoa matunzo ya mtoto ni miaka mingapi?

Matunzo ya mtoto hasa kwa wazazi waliotengana, ni pamoja na chakula, makazi, mavazi, elimu, pamoja na malezi bora. Wazazi wote kwa pamoja –  yaani baba na mama wanao wajibu kila mmoja kwa nafasi yake kuchangia katika matunzo ya mtoto. Aidha,…

Kupanga ni kuchagua

Mtaalamu wa saikolojia, Dk. Joshua Grubbs, alifanya utafiti katika Chuo Kikuu cha Western Reserve kutaka kujua sababu inayowafanya watu wengi wasifanikiwe kutimiza malengo waliyojiwekea katika maisha yao. Moja ya sababu kubwa aliyogundua ni kuishi bila malengo, hili ni jambo lililo…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (1)

Kupanga ni kumaliza mwaka kabla hujauanza Kupanga ni kuvuka daraja kabla ya kulipita, kupanga ni kukata kanzu kabla mtoto hajazaliwa. Kupanga ni kuhesabu mayai kabla ya kutagwa. Kupanga ni kuweka bati kwenye paa kabla ya mvua kunyesha, ni kuchimba kisima…