JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nyerere niruhusu nimpongeze Magufuli

Wiki hii Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ametimiza miaka 20 baada ya kifo chake. Hatunaye Mwalimu Nyerere kwa miaka 20 sasa. Na kwa kweli nikuombe radhi msomaji wangu kuwa leo kwa upekee na kwa hili tukio la miaka 20 ya kifo…

Miaka 20 bila Mwalimu, tumefanya nini?

Tangu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa, aage dunia Oktoba 14, 1999, kila mwaka ifikapo kipindi hicho Watanzania tumekuwa tukiadhimisha kifo chake huku tukishuhudia maneno mengi kwenye vyombo vya habari na kwenye mihadhara na makongamano.  Lakini yatupasa tujiulize, kwa…

Ndugu Rais kumpuuza Mwalimu Nyerere inauma sana

Ndugu Rais, sikutaka kuandika lolote kwa kinachoitwa kumbukizi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kila inapofika Oktoba 14, kila mwaka kwangu huwa ni siku ya kuomboleza na kulia sana. Hii ndiyo siku ya majonzi na simanzi kubwa Taifa…

Miaka 20 Bila Mwalimu Nyerere

‘Hii ilikuwa aibu kubwa sana’ Tukiwa tungali katika kumbukizi ya “Miaka 20 bila Nyerere”, tumekuwa tukikumbushwa mambo mengi juu ya Mwalimu. Gazeti moja limekuwa linatoa historia ya Mwalimu Nyerere katika nafasi mbalimbali. Gazeti moja limetoa kisa kile walichokiita “Nyerere apata msukosuko”. Ni msukosuko…

Acha rushwa itakupeleka motoni

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha yote ya mwanaadamu uliopangika kimwili na kiroho. Mafunzo ya Uislamu yanamfikisha mwanaadamu katika kuyajua yatakayomfaa hapa duniani na kesho akhera. Uislamu umeyaharamisha kwa nguvu kubwa yale yenye kuleta madhara ya kiroho na kimwili kwa…

Siku nilipoitwa ofisini kwa Mwalimu…

Mwalimu anaumwa? Ni swali linalotuumiza. Hatuamini. Walio karibu wanazo taarifa, lakini wanatakiwa wawe watulivu maana kusambaza taarifa za ugonjwa wa Mwalimu kungeweza kuibua taharuki kwa maelfu na kwa mamilioni ya Watanzania waliompenda. Mwalimu ametoka Butiama Septemba 23, 1999. Amewasili Msasani…