JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais malango yako yabarikiwe

Ndugu Rais, kwetu tunaamini kuwa ukizushiwa kifo au hata ugonjwa tu, unatabiriwa maisha marefu. Imani hiyo kwetu bado ipo.  Hivyo, kusema fulani kafa au ni mgonjwa hatari, wakati si kweli, yalikuwa ni maneno yakutia faraja na matumaini kwa anayezushiwa hayo….

Leo ‘Tanzania’ imetimiza miaka 55

Jina la Tanzania leo limetimiza miaka 55. Kabla ya tarehe 29 Oktoba 2019, Tanzania ilijulikana kama Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ni mwanafunzi wa miaka 18 wakati huo, Mohammed Iqbal Dar, aliyebuni jina hilo katika shindano la kubuni…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (5)

Maisha bila malengo ni kama meli bila usukani Watu wanaongozwa na malengo. Ni lengo gani linalokuongoza maishani? Watu waliofanikiwa wana malengo, ambao hawakufanikiwa wana matakwa au matamanio tu. Atakalo mtu hapati, hupata ajaliwalo. “Mtu asiye na lengo ni kama meli…

Polisi acheni wapinzani wapumue

Kila mara niwazapo hatima ya umoja na mshikamano wetu huwa ninapekua na kusoma kijitabu kidogo, lakini kilichoshiba maneno ya busara sana kinachoitwa ‘Tujisahihishe’. Kiliandikwa na Mwalimu Julius Nyerere, mwaka 1962. Ni bahati tu kuwa sina mamlaka ya kuamuru, vinginevyo ningeamuru…

Je, neno baharia lapata maana mpya?

Kitaalamu, lugha ni mfumo wa ishara za sauti za nasibu zilizochimbuka kiholela, baadaye zikakubalika kwa mawasiliano baina ya wanajumuia wa jamii moja. Ni chombo katika kuunganisha pande mbili kifikra, kielimu, kiujuzi na kadhalika. Ni mfumo unaotumika kwa utaratibu wa utii,…

Yah: EWURA simamia vituo kama TAKUKURU

Huwa ninakumbuka sana kauli ya rais wetu anapowatahadharisha watu kwamba hivi hawajui kuwa mambo yamebadilika? Na kuna wakati huwa ninajiuliza, hizi kampuni binafsi zinajua anamaanisha nini? Kama taifa inabidi tusimame pamoja na siku moja tuseme hapana, inatosha kwa mambo kadhaa…