JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania tuwe chachu ya maendeleo yetu

Binadamu huogozwa na hulka, dhamiri na nafsi aliyonayo. Hulka ni tabia ya kujifunza kutoka katika jamaa na jamii yake anamoishi. Dhamiri na akili vinamwezesha kutofautisha mambo ya kutenda na kutotendwa na nafsi inampatia hali ya kujijua kuwa ni binadamu na…

Yah: Tukubali matokeo, sasa tunanyooka

Kuna watu wana msemo kuwa bahati mbaya mambo siyo, lakini sisi wahenga tunaamini hakuna bahati mbaya, bali kuna bahati tu na isivyo bahati.  Sasa kwa bahati mazingira ya maisha yetu yanatufanya tukubali matokeo. Ukweli ni kwamba tumeanza kuyakubali na kunyooka…

Jamii ikatae uzinifu, ikuze maadili

Kijana mmoja alimwendea Mtume Muhammad (Allaah Amrehemu na Ampe Amani) akamwambia: “Ewe Mtume wa Allaah, nipe idhini ya kuzini.” Watu wakamzunguka na kuanza kumuonya. Vipi anamuomba Mtume wa Mwenyezi Mungu ruhusa ya kufanya maasi? Mtume akawaambia: Hebu mleteni karibu yangu. Yule kijana…

SIR NATURE

Aliokota chuma chakavu kusaka ada (2) Sir Nature akaanza kuimba peke yake akijikumbusha mashairi hayo lakini kitendo hicho kikaamsha hisia fulani ndani yake kuhusu muziki. Hisia hizo ndizo zilimfanya awashawishi vijana wenzake watatu kuanzisha kikundi kilichokuwa likijulikana kwa jina la…

Mwanzo wa mwisho wa Zahera Yanga?

Mashabiki wa soka wa Tanzania ni wasahaulifu sana. Ukiwasikiliza mashabiki wa Yanga leo, unaweza usiamini kile wanachokidai. Msimu uliopita tu mashabiki hao walikuwa wakimhusudu Kocha wao, Mwinyi Zahera, ambaye licha ya kufundisha kikosi cha mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi…

Mkuranga African yaibuka kidedea ligi ya wilaya

Timu ya Mkuranga African maarufu kama Apollo imeibuka kidedea katika mashindano maalumu ya kutafuta timu itakayoshiriki Ligi Daraja la Nne ngazi ya wilaya. Apollo ilifanikiwa kupata nafasi hiyo baada ya kuinyuka Mwalu City 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa katika…