JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kiingereza chapigiwa debe

Imeelezwa kuwa msingi mzuri wa lugha ya Kiingereza kwa watoto wanaosoma shule za awali zinazotumia lugha hiyo ni moja ya sababu za wanafunzi wengi wanaotoka katika shule hizo kufanya vema zaidi kitaaluma kwenye madarasa ya juu. Wakizungumza mjini hapa, baadhi…

Serikali yaiangukia Benki ya Dunia

Serikali imeiomba Benki ya Dunia kusaidia rasilimali fedha ili kuwezesha utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na serikali. Ombi hilo limetolewa hivi karibuni jijini New York nchini Marekani na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, alipokutana na…

Dodoma lajipanga kuwa jiji salama zaidi Afrika

Takriban miaka miwili baada ya Rais John Magufuli kuvunja Mamlaka ya Kuendeleza Makao Makuu Dodoma (CDA) na kuitangaza Dodoma kuwa jiji Aprili mwaka huu, ujenzi wa miundombinu ya kisasa, zikiwamo barabara mpya unaozingatia viwango vya kimataifa, ulianza kwa kasi ukilenga…

Ndugu Rais, jicho halijitazami

Ndugu Rais, bendi ya muziki ina ala nyingi. Wakati mwingine muziki unapigwa tangu mwanzo hadi mwisho na msikilizaji asisikie ala fulani ikijitokeza. Baba Phillip Mangula ni mtu wa pili kwa nguvu katika Chama chetu Cha Mapinduzi. Lakini chama na serikali…

Kifo ni faradhi si kete ya ushindi

Kifo ni mauti, ni hilaki. Ni tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai. Ni tendo la lazima kutokea kwa binadamu. Kwa hiyo kila nafsi itaonja mauti. “Inna Lilah Wainna Lilah Rajuun.” Yaani, sisi wote ni waja wa Mwenyezi Mungu…

Yah: Tumekuwa wakukurupuka mno

Inawezekana nimeandika pia barua za kukurupuka wiki nyingi tu zilizopita, lakini dhambi hiyo hainiondoi kwenye kutazama wengine wanafanyaje katika maisha yao.  Mara nyingi mtu hajioni kilema chake isipokuwa kilema cha mwingine, na katika hili huwa tunaona vilema vidogo na kusahau…