JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ISHI NDOTO YAKO (1)

Haben Girm ni mwanamke aliyezaliwa akiwa haoni wala kusikia.  Haben Girm alizaliwa katika familia maskini sana.   Haben alipozaliwa akiwa haoni wala kusikia watu walimshauri mama  yake amtupe kichakani. Mama yake alikataa  kata  kata. Mama yake alisema: “Siwezi  kumtupa  mtoto wangu kichakani kisa ni kipofu.”   Haben alikulia katika mazingira magumu…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (8)

Panga kuvunja rekodi  Kuna baadhi ya watu wanapopata matatizo wanavunjika moyo, wengine wanavunja rekodi. Kuwa na maono ya kuvunja rekodi katika eneo ulipo. Hakikisha viwango na masharti vinazingatiwa. Matendo yawe yanayokubalika kisheria na ni mema.   Jiwekee viwango ambavyo vitakusaidia katika…

Ubalozi wa China chachu ya maendeleo ya elimu nchini

Ubalozi wa China nchini Tanzania umeendelea kutoa msaada kwenye maendeleo ya elimu nchini ikiwa ni pamoja na kuchangia ujenzi wa shule na kutoa elimu ya lugha ya Kichina ambayo imekuwa ikifundishwa katika shule na vyuo mbalimbali nchini. Wiki iliyopita Ubalozi…

Busara ya Nyerere ifanye kazi Simba

Fedha si msingi wa maendeleo! Haya ni maneno yaliyowahi kutamkwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Yalisemwa miaka mingi kabla dunia haijautambua utandawazi. Tunayaona ndani ya Simba inayotaka kumtimua Patrick Aussems.  Mwalimu Nyerere alimaanisha kwamba fedha ni matokeo…

Kampuni za bilionea Friedkin zaminywa

Mbinu za ukwepaji kodi unavyofanywa na kampuni za bilionea Mmarekani, Friedkin, zinazidi kufichuka baada ya kubainika kuwa kwa miaka zaidi ya 30 serikali imekoseshwa mabilioni ya shilingi kupitia udanganyifu kwenye mishahara. Akaunti maalumu kwa mpango huo zimefunguliwa ughaibuni na kutumika…

Shetani anapokuwa malaika na malaika kuwa shetani – (1)

Hivi karibuni Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba ilimhukumu kunyongwa hadi kufa mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Kibeta iliyoko Manispaa ya Bukoba.  Mwalimu huyo alihukumiwa baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumuua kwa makusudi mwanafunzi wake. Mwanafunzi huyo…