JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bilionea Friedkin alipa

Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zilizonaswa kwenye kashfa ya ukwepaji kodi, zimeweka Sh bilioni 50 kwenye akaunti maalumu ya Serikali ya Tanzania. Habari za uhakika zinaonyesha kuwa pamoja na kulipa kiasi hicho, kuna fedha nyingine nyingi zilizoingizwa…

Shetani anapokuwa malaika na malaika kuwa shetani – (2)

Endelea na uchambuzi wa hukumu ya kunyongwa hadi kufa iliyotolewa kwa mwalimu mmoja mjini Bukoba baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua mwanafunzi wake kwa kumchapa fimbo. Dereva hulaumiwa kwa mwendo kasi baada ya ajali kutokea na huenda angelaumiwa…

Serikali yatahadharishwa kuhusu gesi

Serikali imetahadharishwa kuwa kucheleweshwa kwa makubaliano na wawekezaji katika mradi wa kiwanda cha kuchakata gesi asilia (LNG) kunaweza kuiingiza nchi kwenye hasara ya kutonufaika ipasavyo na rasilimali ya gesi asilia. Hayo yamebainishwa na wataalamu wa masuala mbalimbali yanayohusiana na gesi…

Kukosa umoja chanzo miradi mibovu ya maji

Hali ya miradi ya maji inayozinduliwa nchini mingi kutotoa maji ipasavyo inaelezwa kuchangiwa na mipango mibovu pamoja na ushirikiano hafifu baina ya wataalamu, hasa wahandisi wakati wa utekelezaji. Hayo yamebainishwa na Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini (ERB), Mhandisi Patrick…

Mwisho wa kusajili laini ni Desemba 31, TCRA yasisitiza

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesisitiza kuwa mwisho wa zoezi la kusajili laini za simu kwa kutumia alama za vidole ni Desemba 31, mwaka huu. Msisitizo huo unatokana na kuwepo kwa taarifa kwamba serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani…

Ofisa Afya alia na Tume ya Utumishi

Ofisa Afya mstaafu, Joseph Ndimugwanko, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Buhororo wilayani Ngara anailalamikia Tume ya Utumishi wa Umma kwa madai ya kutomtendea haki katika rufaa yake ya Agosti 20, 2014 ya kupinga kufukuzwa kazi. Ndimugwanko alifukuzwa kazi Julai…