JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU (10)

Na Phabian Isaya Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Sasa wewe kazana, hakikisha unatengeneza wigo wa watu wengi wenye tija, alimsihi Noel katika hilo. Kadiri Noel alivyokuwa akizungumza na Profesa Alison Ziki (Mzimbabwe) katika simu, ndivyo alivyozidi kupata hamasa…

HARMONIZE

Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (3)   TABORA NA MOSHY KIYUNGI Wiki iliyopita tuliona jinsi Harmonize alivyoweza kutunga nyimbo na kuzifanya akiwa peke yake, lakini pia alikuwa mkali wa kushirikisha wengine kwenye nyimbo zake kama ambavyo…

Eti hawavijui hata viwanja vyao!

NA CHARLES MATESO Wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Pombe Magufuli, alipotoa agizo kwa wasaidizi wake nchi nzima kuhusu kuorodhesha mali zote za chama hicho, nikakumbuka uwepo wa viwanja vingi vilivyochakaa. Kauli ya Magufuli kutaka kuorodhesha mali sahihi ni…

Bilionea Friedkin atandikwa bil. 80/

ARUSHA NA MWANDISHI WETU Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zinazotikiswa na ukwepaji kodi, rushwa na uhujumu uchumi, zimekiri kuwa zinachunguzwa. Hayo yakiendelea, imebainika kuwa kwa miaka 30 kampuni hizo hazijawahi kutangaza kupata faida; jambo linalotia shaka na…

Uhuru miaka 58 bado kuna kususa tu? (2)

Katika sehemu iliyopita ya makala hii tuliona historia ya vyama vya siasa hapa nchini tangu wakati wa ukoloni. Tuliona jinsi wakoloni nao walivyowatumia baadhi ya wazawa kuanzisha vyama ambavyo vilikuwa na wanachama Waafrika kwa lengo la kutaka kuwagawa. Lakini katikati…

Polisi Stakishari katika mgogoro wa baa

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU   Mgogoro wa kibiashara baina ya wajasiriamali wawili, Jesca Kikumbi na Tausi John wote wa jijini Dar es Salaam umewaingiza baadhi ya askari kutoka Kituo cha Polisi cha Ukonga Stakishari kwenye kashfa ya kuihujumu…